amen..
Vua gamba vaa gwanda.
-Mzee Mtambuzi inama ufikiri.....
-Kenda karibu na kumi
-Nani kama mama
-Wivu sina lakini roho inauma
-Mkataa pema pabaya panamuita
-Ukitaka cha vunguni sharti uiname
NK
-Kila mla kuku wa mwenzie miguu humwelekeakizazi hakizai haramu hadi kiharamishwe
Bujibuji ....... we si umefiwa wewe................!
Au Nazjazi alikuwa anakupaisha hapa JF usiku huu..............
chezea bujibuji weye. anamsomesha msichana kwa mistali yenye akili. channel 5 unaijua?..naijua! ile nayo ni yetu na seki ni mfanyakazi wetu kwenye ile tv yetu. hahahaaa. mia
Bujibuji ....... we si umefiwa wewe................!
Au Nazjazi alikuwa anakupaisha hapa JF usiku huu..............
Mambo yote vibibi vya kizungu, vinakubebesha mibegi mikuuuubwa, hiyo ndio raha yake