Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,771
Umeona e Junior. Cux?
Wakwako anazivaa au ndo keshaingia Town wamtafutia cheni...?!
Junior. Cux, kizuri kula na wenzio e....!!!yani wish angejua navozitamani lakini ye kakomaa na gold ooh silver... Ndo mana 2naenda kuzitaftia nje.!!! Am sure sir B anafaidi sana..
Junior. Cux nsikilize nikuelekeze.ubarikiwe kwa roho yko nzuri, hii wekend itabid tutaftane nivionje hvyo vizuri.!!! wakaa mtaa gani vile..
dah basi wangu maana nimeshachoka kabla ata sijaanza safari, sa mpka nifike uko si wataniokota njiani.!!!
unalo leo! Junior. Cux
Ahsante mungu kwa baraka zako
Umepewa lifti unataka kupiga na honiasie kujua nani kama wewe ni mmbea
Hahahaaaaaa aiseee ndio maana yake lolwe wasusa wenzio wala..