Jobo said:Ukinishika pa hamu, utaupata utamu!
ngumu kumeza
hata uzibe masikio ujumbe umeshafika
Mengi yatanishinda ila sikukata kizinda.
Chakubimbi ukimuona muogope
1. Hasidi hana sababu.....
2. Chokochoko mchokoe pweza binadamu hutamuweza......
3. Alaaa kumbee....
4. Nilijua mtasema.....
5. Halahala jirani ndugu wa mbali atakusaidia nini.....
6. Tutabanana hapahapa....
7. Heri liwe roho ziwatuwe
Tupendanao ndio sisi tupeni nafasi.
Hii naikumbuka maana ilinifurahisha sana.