Majina mengine ni burudani tupu

Majina mengine ni burudani tupu

Salamander

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2012
Posts
28,536
Reaction score
15,751

10888975_1421524264805070_6650150097807578360_n.jpg
 
Kwasababu mnaelewa maana yake moja kwa moja, unajua jina Lucy or Lucie maana yake kilatin ni mwanga au light. Sasa ukimuona Lucy unaemfahamu wewe angeitwa Mwanga ungeona kichekesho?
 
Nilimbahatisha jamaa mmoja kule Dom anaitwa "Pamoja Tunakwenda"
 
Pale Bagamoyo Museums kulikua na Mzee mmoja hivi anaitwa Sitaki Kejeli

Hahahaaaa na kule Kondoa Kusini au Chemba kwa sasa kuna Mwalimu wa shule ya msingi anaitwa HATUA LAINI
 
Nilisoma na dada mmoja anaitwa Hawana O. Akili, kifupi ni Hawana Akili sijui yupo wapi kwa sasa
 
Porter...mfinyanzi.
Tailor....mshonaji
Headwater...kichwa maji
Smith.....mhunzi
Crain.....winchi
Long...ndefu
Mbna hya huwa utuyashangai.?au ndo kunya anye kuku akinya bata kaalisha.?
 
Pale Bagamoyo Museums kulikua na Mzee mmoja hivi anaitwa Sitaki Kejeli

Namjua yule mzee sijui kama bado yupo mpaka sasa, miaka ya 2000 nilikuwa nakwenda pale museum mara kwa mara, lakini umekosea jina, sio Sitaki Kejeli yule anaitwa Samahani Kejeli. Muangalie kwenye hii video hapa chini

 
Last edited by a moderator:
m
Kwasababu mnaelewa maana yake moja kwa moja, unajua jina Lucy or Lucie maana yake kilatin ni mwanga au light. Sasa ukimuona Lucy unaemfahamu wewe angeitwa Mwanga ungeona kichekesho?

majina ya mwanga yapo
 
hahahahaaaa you are very right Mpwa, it is the same guy aiseeee kumbe ni Samahani Kejeli.....hahahahaahahaaa
Namjua yule mzee sijui kama bado yupo mpaka sasa, miaka ya 2000 nilikuwa nakwenda pale museum mara kwa mara, lakini umekosea jina, sio Sitaki Kejeli yule anaitwa Samahani Kejeli. Muangalie kwenye hii video hapa chini

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom