mhemeavisogo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2014
- 343
- 195
Mcharo
La Aziza hapo umefunga kazzzzziiii !!!Habibi,hubbiii,ya Umurry,Hayyatty,Ayyunie.......lol
La Aziz imenikalia kinyume mie,mtoto wangu anaitwa Abdulaziz namuita Azuzz!! La Aziz mmmmmmmm sijui nalihisije,bora hata nikuite Moyo wangu lakini sio La Aziz lol.La Aziza hapo umefunga kazzzzziiii !!!
Hilo Azuzz powa sana!! Nenda ubalozini ukamwandikishe.... utaandikiwa shamba la mitende na Bustani la Rummani!!La Aziz imenikalia kinyume mie,mtoto wangu anaitwa Abdulaziz namuita Azuzz!! La Aziz mmmmmmmm sijui nalihisije,bora hata nikuite Moyo wangu lakini sio La Aziz lol.
pilipili hoho
Hapendi nimuite hivyo sikuizi anasema Mom am no longer a boy call Abdulaziz, tena ukimuita mbele ya wasichana ndio unamkeraaa lol............Hilo Azuzz powa sana!! Nenda ubalozini ukamwandikishe.... utaandikiwa shamba la mitende na Bustani la Rummani!!