Majina mazuri kwa mtoto

Majina mazuri kwa mtoto

leodigardcyrilo

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2015
Posts
3,406
Reaction score
1,816
Wazima wana jamii Polen kwa utafutaji wa kila siku kama kichwa kinavyo jieleza mda si mrefu Mungu ajaalie ntapata mtoto naitaji majina yasiyo complicated na yenye maana nsije kuta namuita Jina mtoto lenye maana hasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"yasiyo complicated" kama ni me majina ni Juma,Hassani, Ali, Rajabu,Iddi, Salum, Bakari, Rashidi, Selemani, Mohammed etc. Kama ni Ke Asha,Zainabu, Mwajuma,Halima,Sada,Salama,Moza,Zuwena,Arafa,Mariyamu, Tausi,Chausiku,Bimkubwa,Saumu,Shakila,Tatu,Tabu etc (hapa kama wewe ni muislamu)

Kama ni Me majina ni Erick,Joston, Kazimoto,Derick,Denis,Robert,Fred,Thomas etc. Kama ni Ke Cecy,Elizabeth,Doris,Dorica,Merriness,Veronica,Valentina,Jenny/Jane,Frida,Witness,Fransisca,Neema,Jackline,Irene etc (hapa kama wewe ni mkristo)

Wengine wataongeza ya asili km Chipeta,Bhoke,Chacha,Kingunge,Katiti,Maseke,Masosota,Kiokote,manka etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"yasiyo complicated" kama ni me majina ni Juma,Hassani, Ali, Rajabu,Iddi, Salum, Bakari, Rashidi, Selemani, Mohammed etc. Kama ni Ke Asha,Zainabu, Mwajuma,Halima,Sada,Salama,Moza,Zuwena,Arafa,Mariyamu, Tausi,Chausiku,Bimkubwa,Saumu,Shakila,Tatu,Tabu etc (hapa kama wewe ni muislamu)

Kama ni Me majina ni Erick,Joston, Kazimoto,Derick,Denis,Robert,Fred,Thomas etc. Kama ni Ke Cecy,Elizabeth,Doris,Dorica,Merriness,Veronica,Valentina,Jenny/Jane,Frida,Witness,Fransisca,Neema,Jackline,Irene etc (hapa kama wewe ni mkristo)

Wengine wataongeza ya asili km Chipeta,Bhoke,Chacha,Kingunge,Katiti,Maseke,Masosota,Kiokote,manka etc

Sent using Jamii Forums mobile app
Kisasila Masota

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Muumini wa dini gani? Maana huwezi ukamuita mtoto Rajabu, Hassani,Abdurahim etc wakati wewe Mkristo..
 
Kizazi cha Fessibuku ni sheedar.
Mtoto akizaliwa anaitwa Baba/Babu mkubwa anakuja kumtakia heri, kumnenea yaliyomema, kumpa pole mzazi na kupima DNA ya asili na Mwisho atampa mtoto jina la UKOO huo ndio UAFRIKA na ndicho kinafanyika mpaka kesho. Hawa watoto wenu ndio maaana ma role mode wao ni akina GIGY MONEY.
Hivi majina matamu kama RUTAJUMULWA, MUGANYIZI, MWAIPOPO, NCHURIKA, CHACHA, KOMBA, JOHARI, UPENDO, FARAJA, BARAKA, WEMA, FURAHA, MSOMI NK
Poa endeelen kuwapa majina ya Pornstars wa majuu kama ISABELA, CHEROKEE, JASMIN, MICHELLE, MANDINGO nk
 
Kizazi cha Fessibuku ni sheedar.
Mtoto akizaliwa anaitwa Baba/Babu mkubwa anakuja kumtakia heri, kumnenea yaliyomema, kumpa pole mzazi na kupima DNA ya asili na Mwisho atampa mtoto jina la UKOO huo ndio UAFRIKA na ndicho kinafanyika mpaka kesho. Hawa watoto wenu ndio maaana ma role mode wao ni akina GIGY MONEY.
Hivi majina matamu kama RUTAJUMULWA, MUGANYIZI, MWAIPOPO, NCHURIKA, CHACHA, KOMBA, JOHARI, UPENDO, FARAJA, BARAKA, WEMA, FURAHA, MSOMI NK
Poa endeelen kuwapa majina ya Pornstars wa majuu kama ISABELA, CHEROKEE, JASMIN, MICHELLE, MANDINGO nk
Mwenyewe naitwa Mganyizi nimefurahi kuliona hapo Sema Jina la ukoo lazima litoke kwa babu kama hayupo atatoa bibi na Jina inakuja kwa nyakati ila lipo la kwenye biblia lazima abatizwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngekewa. MMe Chukulubu. Me Nyambi. Mme Akajasembamba. MKe. Kichogo .mme. Kundewa ,mme. Semenin..mke. Pili kidomo,mke havinitishi,mke. . msichoke,Mme. ... Pimbi,,Mme ...MAJINA NI MENGI KWA KWELI...tuliza kichwa,,MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom