Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,824
- 156,972
Sina jibu ndiyo maana nami niliulizaEti mkuu! Unaweza kutuambia vigezo ulivyotumia kumaizi kuwa Gentamycin & wenzake ni watupu kichwani?
Sina jibu ndiyo maana nami niliulizaEti mkuu! Unaweza kutuambia vigezo ulivyotumia kumaizi kuwa Gentamycin & wenzake ni watupu kichwani?
Huna impact yoyote hata ukiondoka,zaidi utakuwa umepunguza jam kwenye saver ya jf.
Nijuze Jiwe limetua kwa nani mkuuAmeshajulikana tayari.
Nijuze Jiwe limetua kwa nani mkuu
Nikulilie kwa lipi..??Sasa mbona unaanza kunililia kabla sijaondoka jaman
Labda wataweka kipengele cha kuweka namba za kitambulisho cha taifakwa mfano mimi naitwa Juma Abdallah halafu mtandaoni nikaweka jina Hassan Omary ndio watakuwa wamesolve wanalotaka?
Duh! Eee bhana eeeee !!!!Bila shaka,haya ni majina yaliyozoeleka karibu kwenye kila Forum ndani ya JF. Kwa kanuni za sheria za mawasiliano kwenye blogs na mitandao kama JF,ili uweze kuandika thread au comment,shurti utumie jina lako kamili na siyo nickname au avatar. Mwisho mwezi huu
Nahisi JF haitapendeza kama tulivyozoea
Nikulilie kwa lipi..??
kwa mfano mimi naitwa Juma Abdallah halafu mtandaoni nikaweka jina Hassan Omary ndio watakuwa wamesolve wanalotaka?
Hakuna akiyekataa kwa sasa, ila ikifika wakati,liwe kweli ndo halisi. Hata mkemia aseme ni sawa, ndo lenyewe.Malaika amekataa huu ujinga kasema hawezi kushuka kwa vitu vya kipumbavu, hivi nani anajua kuwa hili sio jina langu halisi?
kwani na mimi nimo kwenye orodha yako mkuu ?Nilikuwa sijakusikia,Gentamycine tayari. Bado Jingalao,naye tupate neno lake.
Na ndo tunachotakakuliko kunijua ni bora niache mitandao simu yangu iwe ni kwa ajili ya google
kanajifanyaga kajuaji mno ...kanotokea Tandale kwa Tumbo.