Uchaguzi 2020 Majimbo ambayo rufaa zake hazijatolewa na Tume

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,753
218,366
Jioneeni wenyewe
Rufaa ambazo @TumeUchaguziTZ @TumeYaUchaguzi @tumeuchaguzi haijafanya Uwamuzi kw ( 700 X 640 ).jpg
 
..yule jamaa wa Kilombero rufaa yake imepita? Je, amepewa barua na tume?

..vipi kuhusu Lumola Steven Kahumbi wa Bukene, Je ameshapata barua ya kumtambulisha toka kwa Tume?

..kushinda Rufaa ni jambo moja, lakini kupata barua toka kwa tume ni mtihani mwingine mgumu.
 
..yule jamaa wa Kilombero rufaa yake imepita? Je, amepewa barua na tume?

..vipi kuhusu Lumola Steven Kahumbi wa Bukene, Je ameshapata barua ya kumtambulisha toka kwa Tume?

..kushinda Rufaa ni jambo moja, lakini kupata barua toka kwa tume ni mtihani mwingine mgumu.
tangu 2019 utaratibu umebadilika nchi hii mpinzani kurudisha form n kivumbi patashika na jasho ukinusurika kutekwa bas mpokea form hautamkuta ofisini, ni siasa za kisayansi zinazoiweka ccm kwenye ramani kama chama chenye mafanikio duniani
 
Mapingamizi asilimia 99% ni ya wagombea wa upinzani, ndio waliokosea kujaza form. Ndio wagombea pekee wenye mapungufu ya kibinaadamu (Na ndio wenye haki ya kufanyiwa figisu). Ila wagombea wa CCM kama vile walijaziwa fomu toka mbinguni (Hawana kasoro wala mapungufu).

Mgombea wa CCM anaruhusiwa kufanya kampeni kwa lugha ya kikabila, anaruhusiwa "KUTUFOKEA" na "KUTUTISHA" wananchi wapiga kura. Anaruhusiwa kutumia "MABAVU" dhidi ya wanaharakati, waandishi wa habari, raia wanaokosoa na wagombea wa upinzani.

CCM wajipange sana kisaikolojia, hawajui adha na matatizo yanayo wakumba raia, kampeni zinafanywa na LAND CRUISER VX zaidi ya 60 sambamba na helikopter.

Raia wameshachoka, hata wakilazimisha ushindi ila mwisho wao umekaribia.
 
Tume na CCM washenzi sana . Bado siku 34 kampeni kuisha alafu hawajatoa matokeo hadi sasa!! Wanategemea hao wagombea watafanya kampeni kwa mda gani!?!

Hii nchi imefika hatua mbaya sana. Hii uonevu umevuka mipaka ya uvumilivu. Ni lazima watanzania tuwatoe hawa wakoloni weusi CCM kwa gharama yeyote mwaka huu. Enough is Enough
 
Imekalia au zimetupwa hazina mashiko
Hayo mamlaka ya kupitisha wagombea bila kupingwa wanayatoa wapi wakati mamlaka yote yanatoka kwa wananchi , wao kazi yao ni kusimamia uchaguzi tu , habari ya kupitisha au kutopitisha wagombea sio kazi yao . Hebu waeleze na sababu nini ? Tuone Kama Zina mashiko ? Kama sio pumba tupu .
IMG_20200910_181034_6.jpg
 
Back
Top Bottom