1. Ubungo,
2.Kibamba,
3.Bariadi,
4.Arusha,
5.Busanda,
6.Dodoma,
7.Maswa,
8.Tarime,
9.Mikumi .
10.Arumeru,
11.ilemela
Haya ni majimbo ambayo kwa asilimia mia moja yashachukuluwa na Ukawa.
Ebu kama una mengine yenye uhakika yatupie hapa Magamba yajifiche.
12)Vunjo,1. Ubungo,
2.Kibamba,
3.Bariadi,
4.Arusha,
5.Busanda,
6.Dodoma,
7.Maswa,
8.Tarime,
9.Mikumi .
10.Arumeru,
11.ilemela
Haya ni majimbo ambayo kwa asilimia mia moja yashachukuluwa na Ukawa.
Ebu kama una mengine yenye uhakika yatupie hapa Magamba yajifiche.
Matusi ya nini mkuu !! naona kama dokta kauzidishia dozi ndo maana umeanza kuweweseka na kutakana baada ya kujibu hoja.Mwaka huu mtachezea kichapo cha paka mwizi ,tunataka kuwaonesha kwamba sisi ni wazazi wenu kwenye siasa ,tunavunja vunja hope yote ya mabadiliko ,mtaanza moja postOct25 malofa nyie.
Nyie jipeni imani tu.
1. Ubungo,
2.kibamba,
3.bariadi,
4.arusha,
5.busanda,
6.dodoma,
7.maswa,
8.tarime,
9.mikumi .
10.arumeru,
11.ilemela
haya ni majimbo ambayo kwa asilimia mia moja yashachukuluwa na ukawa.
Ebu kama una mengine yenye uhakika yatupie hapa magamba yajifiche.
musoma mji
rorya
ukonga
kwa Tundu lissu
Kweli ukiwa shabiki wa ukawa lazima unaupungufu wa akili. Majimbo yako 222, sasa mliyotaja hayazidi 20. Ushindi huo mnaupataje? Hapo CCM imeweka wabunge majimbo yote, Chadema 138???? Hivi mnaakili kweli??