Majimbo 11 Ambayo UKAWA Wasipoteze Fedha Washapita

1. Ubungo,
2.Kibamba,
3.Bariadi,
4.Arusha,
5.Busanda,
6.Dodoma,
7.Maswa,
8.Tarime,
9.Mikumi .
10.Arumeru,
11.ilemela
Haya ni majimbo ambayo kwa asilimia mia moja yashachukuluwa na Ukawa.
Ebu kama una mengine yenye uhakika yatupie hapa Magamba yajifiche.
Makamanda tusibweteke kabla ya kupiga kura, zikahesabiwa na kutangazwa. Isitoshe, majimbo sisi hayatoshi tunataka na kura kwa lowasaa za kutosha, kwa hivyo kwa kifupi ni kwamba hakuna kulala hadi kieleweke.
 
1. Ubungo,
2.Kibamba,
3.Bariadi,
4.Arusha,
5.Busanda,
6.Dodoma,
7.Maswa,
8.Tarime,
9.Mikumi .
10.Arumeru,
11.ilemela
Haya ni majimbo ambayo kwa asilimia mia moja yashachukuluwa na Ukawa.
Ebu kama una mengine yenye uhakika yatupie hapa Magamba yajifiche.

Kuna Ukawa wasipojipanga wanaweza wasipate mbunge hata mmoja
1.Tanga
2.Pwani
3.Rukwa
4.Katavi
5.Tabora
6.Ruvuma

Na mikoa ambayo Ukawa wanaweza pata at least jimbo moja
1.Lindi
2.Singida
3.Morogoro
4.Iringa
5.Shinyanga
 
Makamanda tusibweteke kabla ya kupiga kura, zikahesabiwa na kutangazwa. Isitoshe, majimbo sisi hayatoshi tunataka na kura kwa lowasaa za kutosha, kwa hivyo kwa kifupi ni kwamba hakuna kulala hadi kieleweke.

Mkuu hofu ondoa Lowassa anasubiri muda na kiapo tu,JK amkabidhi ofisi
 
1. Ubungo,
2.kibamba,
3.bariadi,
4.arusha,
5.busanda,
6.dodoma,
7.maswa,
8.tarime,
9.mikumi .
10.arumeru,
11.ilemela
haya ni majimbo ambayo kwa asilimia mia moja yashachukuluwa na ukawa.
Ebu kama una mengine yenye uhakika yatupie hapa magamba yajifiche.

kuna mengine 200 bado...ila nitakujulisha trh 26/10/2015
 
Shinyanga mjini, Kahama mjini, Kisesa, Meatu, Ukerewe, Itilima, Mbulu zote 2, Simanjiro, Longido, Kigoma kusini, Kasulu vijijini, Mhambwe, Bukombe.

Ila habari ya kutopiga kampeni Mimi siiungi mkono, haki ya nani tutachezea kichapo!
 
Ongeza na Mbulu mjini, Mbulu vijijini, Babati mjini, Babati vijijini, Arusha mjini, Arumeru zote mbili, Hai, Moshi mjini na Rombo.
 
Kweli ukiwa shabiki wa ukawa lazima unaupungufu wa akili. Majimbo yako 222, sasa mliyotaja hayazidi 20. Ushindi huo mnaupataje? Hapo CCM imeweka wabunge majimbo yote, Chadema 138???? Hivi mnaakili kweli??



TUMIA akili ww. ...

UKAWA kwa Tz bara pekee wamesimamisha majimbo yotee... CHADEMA sio pekee, kuna UKAWA..


CHADEMA majimbo 138...

CUF.... majimbo 49..

bado NCCR... 14

NLD 3...........hii ni kwa Tz bara tu...

Jumla majimbo yote ya UKAWA kwa Tanzania BARA pekee wamesimalisha majimbo yote ... total plus Zanzibar 264 wamesimamisha wagombea, so kila Jimbo lina mgombea wa UKAWA..
 
1. Ubungo,
2.Kibamba,
3.Bariadi,
4.Arusha,
5.Busanda,
6.Dodoma,
7.Maswa,
8.Tarime,
9.Mikumi .
10.Arumeru,
11.ilemela
Haya ni majimbo ambayo kwa asilimia mia moja yashachukuluwa na Ukawa.
Ebu kama una mengine yenye uhakika yatupie hapa Magamba yajifiche.
Wapiga kura wa Bongo hawatabiriki hata kama umeshapita ni vizuri kupita.pita kuwaomba kura wananchi,ukijisahau fitina zinatumika pia mbunge inabidi awanadi madiwani
 
Back
Top Bottom