Zitto hawezi kutubu kwa vidudumizi kama wewe na ni haki yake ya msingi kufanya anacho taka nimesha sema huko juu saanane ni kama wapuuzi wengine kisiasa na kwangu mimi hawezi kuwa mwanasiasa.
Saanane mbona anaogopa kuhoji kwanini Dr anamiliki kadi ya sisiem, kwangu mimi sioni kma Dr ana sifa kwa kuwa uchaguzi uliopita kumbe ccm walikuwa wanawagombea wawili.
Dr ni fisadi kwa mujibu wa wanachama wengine na anataka kuogopwa kama Mungu mtuu lakini hilo kwa zkk halina nafasi kama kujikinga unaitwa mchawi basi hata baba wa taifa hili na yeye alikuwa mchawi mkubwa, vile vile Dr na yeye ni mshirikina kwa kuwa alikwenda kupata kikombe.
Zkk na fahamu wewe nitishio kubwa kwenye chama hiki hasa kwa wale vidudumizi wanao taka urais kwa kuwa ukweli ni kwamba pamoja na kelele zao za kuleta maendeleo kwenye nchi hii lakini hakuna mwenye uwezo wako, hivyo wanakosa usingizi ndio maana virus kama saanane wanatumiwa kujaribu kukuchafua, lakini wewe si wakwanza kuitwa mchawi aliitwa mchawi Yesu, Musa na wengine ingawa walikuwa wananguvu toka kwa Mola wao.
Endelea kupambana na virus pamoja na hawa vidudumizi kwa kuwa kuna watu wanaongea hovyo wakati hata familia zao hawana uwezo wa kuziongeza.
Kwanza na shangaa watu wanasema Dr anataka kugombea uraisi jina hilo limepitishwa lini? nyinyi dudumizi acheni kuchonga ngenga
Saanane mbona anaogopa kuhoji kwanini Dr anamiliki kadi ya sisiem, kwangu mimi sioni kma Dr ana sifa kwa kuwa uchaguzi uliopita kumbe ccm walikuwa wanawagombea wawili.
Dr ni fisadi kwa mujibu wa wanachama wengine na anataka kuogopwa kama Mungu mtuu lakini hilo kwa zkk halina nafasi kama kujikinga unaitwa mchawi basi hata baba wa taifa hili na yeye alikuwa mchawi mkubwa, vile vile Dr na yeye ni mshirikina kwa kuwa alikwenda kupata kikombe.
Zkk na fahamu wewe nitishio kubwa kwenye chama hiki hasa kwa wale vidudumizi wanao taka urais kwa kuwa ukweli ni kwamba pamoja na kelele zao za kuleta maendeleo kwenye nchi hii lakini hakuna mwenye uwezo wako, hivyo wanakosa usingizi ndio maana virus kama saanane wanatumiwa kujaribu kukuchafua, lakini wewe si wakwanza kuitwa mchawi aliitwa mchawi Yesu, Musa na wengine ingawa walikuwa wananguvu toka kwa Mola wao.
Endelea kupambana na virus pamoja na hawa vidudumizi kwa kuwa kuna watu wanaongea hovyo wakati hata familia zao hawana uwezo wa kuziongeza.
Kwanza na shangaa watu wanasema Dr anataka kugombea uraisi jina hilo limepitishwa lini? nyinyi dudumizi acheni kuchonga ngenga