Majibu ya Serikali (Wizara ya Nishati na Madini) kuhusu ripoti ya PAC juu ya Tegeta Escrow Account

'Tanesco' bhana, eti ndo wanarudisha umeme sasa. Sijui wamebana nini, simu zipo, radio zipo! Wanachekesha sana walivyo mataahira.
 
mbowe siku zote alikuwa haonekani lakini baada ya jana kujilidhisha kuwa jina lake halijatajwa ,leo kaja na mbwembwe zote....
 
Yaani huyu profesa sijamuelewa kabisa.

Habari za siku Mkuu? Baada ya ligi kusimama tumepotezana. Nashukuru tumekutana tena huku kwenye akaunti ya Tegeta ESCROW.

Maudhui ya hotuba ya jamaa ni mafupi tu kwamba fedha zilizokuwa ndani ya akunti ya ESCROW siyo za umma.
 
Kwa kweli kama anayoyasema Muhongo ni kweli ya kwamba hela ya ESCROW sio ya umma basi haya ni matusi kwa ofisi ya CAG na TAKUKURU kwa maana ya kuwa hizi ofisi zimetoa taarfia ya uongo. kwa maana hiyo zifumgwe. Na kama zimesema ukweli basi Muhogo afunguliwe mashitaka na afungwe.
 
Dah! ni hatari sana Watanzania mpaka leo bado tuanshindwa kutofautisha kati ya profesa na polopesa, mfano profesa Bere..gu na polopesa maji maref...u., Bongo hapa wengi ni mapolopesa sio maprofesa, ndo mana wanakuwa wezi na matapeli. Kisha bado kuna watu wanawatetea wezi hao hao, yaani hii nchi kama imerogwa. Ingekuwa amri yangu WEZI WOTE WA PESA ZA UMMA NA WALE WOTE WANAOWATETEA WEZI WANYONGWE HADHARANI.
 
Mm sina neno lakini ngoja tuone saa 11 hii ngoma nzito kumbe mkono alikuwa kaifanya tanesco "shamba la bibi"haki ya mungu nchi hii kila mtu mwizi hapa hakuna wa kumfunga paka kengele wooote wezi tu upepo upite tusonge mbele mm mwenyewe sasa niko ktk mchakato wa kusaka hizo fedha za escrow kumbe hazikuwa za serikali ngoja mtaona nitazinyaka tu.
 
Wakuu wasipojiuzuru ,ni kurudisha ile movement ya kukusanya sahihi ili kupiga kura ya vote of no confidence!!

Sioni dalili ya jamaa kusepa hapo.
Nilifikiri kuwa issue ni ufisadi!, kumbe issue na this time ni uwaziri mkuu?!, mkidhani itakuwa simple kama ile ya Richmond?!.

This time!, No way!.

Pasco.
 


Escrow inatoa picha nzuri jinsi maadili kwenye uongozi nchi hii yalivyoshuka. Watu wamebeba hela kwenye mifuko ya rambo, mabox, lakini viongozi bila haya wanatetea, tena bungeni? Waziri anapata hela toka kwenye kampuni ambayo iko chini ya wizara anayoongoa lakini anasema hakuna tatizo!
 
Prof kawaambia kuwa kama yeye ni dalali basi udalali wake ni wa kupeleka umeme vijijini

Vijiji gani mbona hakutaja? Aache uongo wake hapa, vijana wametoa facts jana yeye kaishia kupiga kelele tu
 
Binafsi nilianza kuwa na wasiwasi na ripoti ya PAC hasa kitendo chao cha kutokutaja popote kodi ya Bilioni 38 iliyolipwa na VIP katika mauzo yake ya shares.
 
Huyu ni mwizi mkubwa alikuwa kaifanya tanesco shamba la bibi yaani ushauri tu bil 62 na bado anadai?mkono ww ni mse.........na utaona tu
 

Upuuuzi mtupu....ni kaburi jingine kwa ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…