lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
nami pia nilionaga thread moja hapa akiwa anaelezea mambo katika njia ambayo niliiona ni ya kitoto zaidi lakini nikadhani labda alipitiwa tu.hili lijamaa ni hatari sana, akiwa waziri tumekwisha.
Sasa hii taarifa aliyotoa hapa inaonekana hata hivyo vyeti vya udaktari alivipata katika 'affirmative plan' labda. Kweli nazidi kuamini zaidi ya nilivyokuwa nikiamini kuwa nchi ya Tanzania imejaa matatizo!