Bazenga01
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 772
- 1,265
Hongera kwa kuingia kwenye baraza la mawaziri! Umetumia technic ya kutosaliti chama chako. Ila chama chako ndio kimepelekea yote haya, yaani ule msemo wa 'maisha bora kwa kila mtanzania' unaenda vice versa na hata mtu asiye na elimu ya msingi analitambua huku mkitulazimasha tuamini vinginevyo kwa matakwimu yenu ya macro-economics.
Anyway, jua tu idadi ya wajinga inapungua, na siasa za kupelekwapelekwa zinafika mwisho! We r watching you.
Hoja ya Zitto hata watoto wanaosoma uraia shule ya msingi waliilewa. Wabunge wanauwezo wa kumwajibisha waziri mkuu (hata kwa kosa la waziri wake), au ulitaka waendelee kulalamikalalamika kama vikao vingine vya bunge na baadae yaishie kwenye record za bunge!? Kwani tuhuma za ufisadi na udhaifu wa mawaziri zimeanza kikao kilichopita!?
One more step was needed honorable and Zitto showed the way.
Big UP mkuu, umemjibu ipasavyo. Alitaka wabunge walalame tuuu halafu iwekwe kapuni. Hakika mwisho wao waja, na kitambo si kirefu tutawahukumu kwa maovu yao juu ya nchi na wananchi. People are getting smarter each and every second gone by.