Chief,unaeza kuwa na ile sitting arrangement walieka ikiambatana exam no..Pls help,nimeghafilika kusahau exam no ya usaili as nilifanya ya bussiness analysit II
Mkishafeli huwa mnalia lia sana, *****. Hata mimi nilipofeli interview ya WCF nilibweka bweka kama wewe hivyo hivyo, I feel your painORAL WATU 400, NAFASI 5
HII YOTE NI KUTAFUTA MPENYO WA KUCHOMEKA WATU NA IWE NGUMU KUBAINI.
HALAFU HILI LA MTU KUPATA MAKSI 97 MIMI HUWA LINANIPA UKAKASI.. HUYU MTU AIDHA.. KAPENDELEWA MAKSI, MTIHANI ALIVUJISHIWA AU ALIGOOGLE.
Vp braza anguuuAise
ulitaka wewe wangap?Revenue officer ina mzanzibar mmoja?
Natoka Singida,nikishuka pale Ubungo nikalale mtaa gani ambapo naweza panda gari moja tu nifike hapo posta?,sor pia nikitoka ubungo hadi hapo unaponielekeza nipande gari za kwenda wapi?ghorofa ya maktaba kuu ya taifa ndo humohumo ofisi ya psrs. ipo posta maeneo ya mhasibu.mfano km unatoka mnazi mmoja unapita chuo cha tpsc,zen chuo cha cbe mbele kdg ofisi za nbaa . hvyo vyuo nvyovitaja ukiviulizia vyote ni rahis kufika maktaba ya taifa/psrs
Ni ngumu kupata 97 kwa aina ya yale maswali ya kushtukiza. Tukubaliane tu kwamba rafu zipo ila ndo maisha ya kawaida. Limepita ila always kuna mambo yasiyoyakawaida huwa yanatendeka nyuma ya paziaMkishafeli huwa mnalia lia sana, *****. Hata mimi nilipofeli interview ya WCF nilibweka bweka kama wewe hivyo hivyo, I feel your pain
Practical ipi mkuu hapo sijakupata au unamaanisha oral interview...mwisho wa siku nafasi zipo fixed , either way lazima practical ifyeke watu wengi
Tatzo unahisi kila mtu ni ww ile pepa kuna nnaowajua wako vzr kufatilia hayo mambo wamepasua vzr na marks za maanaNi ngumu kupata 97 kwa aina ya yale maswali ya kushtukiza. Tukubaliane tu kwamba rafu zipo ila ndo maisha ya kawaida. Limepita ila always kuna mambo yasiyoyakawaida huwa yanatendeka nyuma ya pazia
Kwani unahisi mtihani ulivuja?
Tatzo unahisi kila mtu ni ww ile pepa kuna nnaowajua wako vzr kufatilia hayo mambo wamepasua vzr na marks za maana
So kisa ww umeshndwa usiamin kila mtu hawezi we differ bro
Safi mkuu, masahihisho.ukifika ubungo sehem za kulala close na stand huwezi kosa zipo nying sana. ili kufika post panda gari za mwendo kasi hapohapo ubungo unashuka posta kituo nazani kinaitwa akiba hapo ni karibu sana na chuo cha cbe, ukishuka tu upande huohuo wa kushoto kwa mbele kidg gari uloshuka linapoelekea kata kushoto ufate barabara inaelekea kushoto/inaelekea posta maktaba. ukiifata barabara sjui inaitwaje ndo utaanza kupita chuo cha utumishi wa umma/tpsc then utapita chuo cha cbe, ukizidi kwenda kuna jengo la elimu ya watu wazima alafu la nbaa jengo linayofata ndo maktaba kuu/psrs vyote vipo barabarani. km ukipotea ukiulizia kati ya hayo huwezi kupotea kabisaa.
IT huwa wanafanya practical kabla ya oralPractical ipi mkuu hapo sijakupata au unamaanisha oral interview...
ni pm ntakusaidia, wewe umechaguliwa nafasi ipi?Hzo ofisi zko mtaa gani jamani maana wengine hatujawahi kufika Dar,plse tuelekezeni
"Kene" we umefaulu kwa bahati mbaya wallahHahahaha akati pepa inaendelea niliomba ruhusa nikaenda chooni nikakuta watu wako bize na cmu zao.
Kwanza vile vyoo vya aja kubwa vyote vilikua occupied.
Yaani mtu kaingia afu kajifungia kwa ndani, hahahaha hataki usumbufu.
Kweli wabongo sio watu wa mchezomchezo kabisa.
Mungu mkubwa nimefaulu na cku google, ila mlogoogle tutakutana kene oral tu, cjui na huko nako mtaomba kwenda chooni!!
Kama nakuona vile unavyotangazwa msikitini ha ha haNatoka Singida,nikishuka pale Ubungo nikalale mtaa gani ambapo naweza panda gari moja tu nifike hapo posta?,sor pia nikitoka ubungo hadi hapo unaponielekeza nipande gari za kwenda wapi?