Hamukoko-Nansio
Member
- Aug 21, 2013
- 15
- 0
Nakumbuka miezi iliyopita mheshimiwa mwakyembe alisema kuwa keshapeleka kesi kama 30 za madawa ya kulevya na waziri wa mambo ya ndani anashughulikia kwani kapewa kazi hiyo, atueleze wamechukuliwa hatua gani, na sembe walilokamatwa nalo liko wapi, lakini mpaka leo naona kimya, jamani naomba wadau mtujuze