Majibu kwa Mnyika na CHADEMA juu ya watumishi wa umma na mikutano ya CCM

chadema mara nyingi wamekua wakiongozwa na matamanio ya 2015,na hili limewafanya hata kukurupuka kutoa matamko,hivi chama kinacho shinda uchaguzi kazi yake nini zaidi ya kuongoza selikali? chadema wanataka tuamini kuwa hata halmashauri wanazo ongoza watumishi hawaguswi kabisa? kama wana mbana meya nae meya ana mbana mkurugenzi,mkurugenzi nae ana wabana wakuu wa idara,nao wakuu wa idara wana shuka chini na hatimae wananchi wanaona utekelezaji! kwa tamko lenu chadema mlishauriwa na mlevi!

Mi nafikili Nape ndo ameshauriwa vibaya kwa sababu suala la kuwabana watumishi wa umma kutekeleza wajibu wao ni la kila mtu bila kujali yupo madarakani au vinginevyo. Kinachopigiwa kelele ni kuwalazimisha waache kazi zao walizoajiriwa kuzifanya halafu waanze kupanda majukwaani kufafanua mambo hayo swali je, wanasiasa watakuwa na kazi gani? Kama CCM inaona kasi ya utekelezaji wa Ilani yao hairidhishi suluhisho si kuleta wataalamu ili waweze kuwaeleza wananchi bali kwa wao (CCM) kuwasukuma waongeze kasi ili kuondoa malalamiko ya wananchi. Kama ni mkutano wa wananchi naunga mkono kwamba waje wawafafanulie kitaalam wananchi lakini si katika mikutano ya Chama inayoongozwa huyu mropokaji na mwingine mmiliki wa kampuni inayosafirisha kwa magendo maliasili ya nchi yawezekana ndiye mfadhili wa Al Shabaab nawashauri wakenya waanzishe uchunguzi kwa kuhusiha hata CIA kuhusu huyu jamaa.
 
chadema mara nyingi wamekua wakiongozwa na matamanio ya 2015,na hili limewafanya hata kukurupuka kutoa matamko,hivi chama kinacho shinda uchaguzi kazi yake nini zaidi ya kuongoza selikali? chadema wanataka tuamini kuwa hata halmashauri wanazo ongoza watumishi hawaguswi kabisa? kama wana mbana meya nae meya ana mbana mkurugenzi,mkurugenzi nae ana wabana wakuu wa idara,nao wakuu wa idara wana shuka chini na hatimae wananchi wanaona utekelezaji! kwa tamko lenu chadema mlishauriwa na mlevi!

Mkuu tazama maneno yako kabla hujaingizwa kwenye kundi moja na mtoa hoja wa kwanza! CCM haiwasimamii moja kwa moja viongozi wa serikali na hao hawawajibiki moja kwa moja kwa ccm. Kuna taratibu za kufanya kwa kuwaita viongozi wa ccm kwenye maeneo husika (wale waliochaguliwa kupitia ccm) na kuwahoji na si kumhoji kila mtu kama utakavyotuaminisha. Hii ni lapse kubwa sana kwako na wenzako wanaowaza kama wewe
 
@Nape Nnauye Jr

Hii kazi waliyokupa mafisadi ya kuidhoofisha CHADEMA na Viongozi wake hutaiweza na itakuua kisiasa kabla ya 2015,hao hao wanaokutuma watakufukuza kwa kuizorotesha CCM, Huwa huna hoja za maana zaidi ya hoja za kiCCM!
 
Nnape kujibizana na Nnyika utapotea yule anakuzidi data na jinsi ya kupresent mada.Lakini katika hili siyo lazima uwe na phd kujua ccm mnakosea.Umeshasema mkuu wa wilaya ni kada wa chama,sasa basi kama anataka watendaji wa serikali waeleze walofanya basi aende kwenye ofisi zao wampe data azilete kwenye mikutano siyo eti aje nao.Je mkutano wa chadema pia atakuja nao ili na penyewe wauambie umma wamefanya nini?Katiba mpya ndo mwisho wa vyeo vya kijinga km mkuu wa wilaya na mkoa,siasa tupu wale, waondoke wabaki makatibu tawala na mkurugenzi,Nnape ndo hapo Mnyika anakuzidi credit
 
Samahani nape. Wewe ni kiongozi au mtunga taarabu??? Sikuelewi hata siku moja kwani kila siku unaamka na haoja zisizo na mshiko. Huna kazi za kufanya. au ndo ulivyofundishwa kuwa ni propaganda (mopasho). nakushauri ujiunge na mzee yusufu wa jahazi.
 
Pumbaaaaaaa! tatizo sio watumishi wa umma kutoa taarifa kwa viongozi wa siasa, bali ni watumishi wa umma kutoa taarifa kwenye majukwaa ya siasa.
Hata hili linahitaji tuition ili uweze kuelewa?
 
Katiba ya nchi inatamka wazi haki ya kila raia kujiunga na vyama vya siasa.Waraka na 1 wa mkuu wa utumishi wa umma Kumb.na SHC/C.180/2/113 wa 26.06.2000 umefafanua nani,nini na wapi mtumishi huyo anawajibika kutumika katika chama chake.
 
Back
Top Bottom