lizaboni anataka kuvuruga mkutano kwa maneno yake ya kuvuruga chama...lizaboni sio mwanachama wa ccm ni mamluki usimuamini kabisa katumwa na Lowasa kuvuruga chamaHdharani iliyoko kwenye mada hii mkuu, kuandika tu Lizaboni amepotosha? Facts zikowapi kuonesha Lizaboni alisema uongo? Eti Luwhavi amekuwa ndani ya CCM muda mrefu, hiyo siyo hoja tamaa ya madaraka haingalii una muda gani ndani ya chama. Yuko wa Lowassa, Mgana mSindaye, SUMAYE na wengine wengi? Si walizaliwa na kukulia ndani ya CCM, tamaa zao za madaraka zikawaondoa. Nyie mmekmtwa masikio na Lizavoni