Majibu kwa lara 1


Kwani wa miaka 20-30 wana exception gani ya kukumbana na mambo ambayo wenye 30-40 watakumbana nayo?

Generally, ndoa haina umri.
 



Its very true,she biased on the negative part of it which isn't always the case.Although marriage journey is not always honeymoon at Hawaii
 
Ndoa ni taasisi nzito, iheshimiwe.

Kama huiwezi kaa kimya usiwavunje wenzako moyo wanaotamani kuifuata.

Sio busara pia kutoa mifano ya negative sides za wazazi hasa kwenye maisha ya ndoa, inawezekana ulitaka upitie maisha ya kishua yasio na dosari ndo maana kila siku unampondea mzee wako kwa makosa alofanya. SIO ISHU.
 
umeona na wewe mkuu eenh tuko pamoja ndoa lazima iheshimiwe na watu wote

Kwa jamii yeyote duniani huwa inakuwa na maadili(morals) ambazo ndizo huwa zinawaongoza with katika masuala mbali2 ya maisha kwa afrika nikiongea kwa mapana kuiacha Tanzania ndoa ndiyo msingi wa chini wa familia kwa mjibu was maadili yetu familia kamili inahusisha baba na mama nguzo ukivunja ungo ama kubarehe wengi wanategemea hatua ya ndoa (kuoa ama kuolewa) usipofanya hivyo jamii LA IMA ijiulize kulikoni has a km hauna tatizo na c mtawa hapa lala1hauna cha maana zaidi ya kujifanya unaiga mifumo usiyo ijua misingi yake. Kwa lugha ya kisaikolojia unaweza kuitwa mmame(kinyume cha mbabe) kimatumizi katika mfume dume.
 
Wengine wanaona tofauti, wanaona kama 30-40 ni less advantaged, so they have to grab anything that comes in their way.

Bold ndio point ya sred ile

Kwani wa miaka 20-30 wana exception gani ya kukumbana na mambo ambayo wenye 30-40 watakumbana nayo?

Generally, ndoa haina umri.
 
Ulimpata kabisa bro na majibu yako ni sahihi kabisa...

ila huyu Lara 1 ana influence kubwa humu hata wanandoa utashangaa wanakukana

ndio maana ili jukwaa nilishahama...limepoteza hadhi yake...nimeamua kutembelea international forum nikaangalie news za ndege ya Malaysia...


tehetehe kwamba siyo majibu ni kweli siyo majibu yako ila ni majibu yangu na mtazamo wangu,hitimisho nimeshafanya kazi ukipata muda pitia usiogope urefu kuna cha kujifunza.
 
Kwani wa miaka 20-30 wana exception gani ya kukumbana na mambo ambayo wenye 30-40 watakumbana nayo?

Generally, ndoa haina umri.[/QUOTE]

Ni ukweli tupu mkuu ndoa haina umri wengine wako bussy kutafuta maisha kwanza, kuoa/kuolewa baadaye.
 

Ni kweli mkuu mtu kama amekata tamaa aache wengine wajaribu bahati zao si kuaminisha watu kuwa ndoa ni matatizo mwanzo mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…