MKUU WA KAYA
JF-Expert Member
- Apr 18, 2012
- 201
- 66
Sijui itakuwaje na kwa mitaala ya Tanzania the failure rate will go increasing na kuzalisha wakina MZM,MZIMU na ILLUNGA wengine.
Mzimu na mzm hakuna kitu kibaya kama kuua kwani maisha yako yote unakuwa na jinamizi la kuua.Pili serikali yetu haiendeshwi kwa sheria za kiislamu kwa hiyo siyo haki anayoyahubiri.Ufikirie zaidi ya hapo kwani mwisho wa siku atauawa muislamu asiye na itikadi kali.Muwe waanaglifu na maneno.Hakuna muungu wa mauaji
Mi najiuliza, ikiwa mungu wa akina Ilunga (ambaye naamini sio Allah wa waislam) anapoletewa kesi ya kuuliwa Shehe anaamua namna hii (yaani kuua walei, wachungaji, maaskofu, na makardinali). Hivi Shetani angepelekewa kesi ya namna hii angetofautianaje na na huyu mungu wa akina Ilunga.
Hongera sana kwa hoja yako! Pia kwa nini Sheikh Ilunga asiwaelekeze waislam kuwa polisi akiua walipize kwa kuua polisi! Polisi wapo waislamu na wakristo pia wasio na dini yo yote!mzm,
..kwasababu Sheikh wa Mombasa kauwawa na Polisi wa Kenya basi Sheikh alipaswa kuwa specific kwamba Waislamu wa-deal na mapolisi, siyo Maaskofu.
..hivi unafikiri ikitokea Sheikh mmoja akauwa na polisi, halafu Waislamu wakaamua kulipiza kisasi kwa kumuua Askofu au kiongozi wa dini ya Kikristo, unafikiri ndiyo kutasababisha amani ipatikane?
..na kwanini Sheikh Ilunga anaelekeza wauawe viongozi wa Kikristo, siyo viongozi wa Mabudha, viongozi wa serikali, au hata wa chama kilichoko madarakani??
Kiongozi,
Nadhani hakuna haja ya kuanza kudharau imani ya watu wengine, kama wewe unataka watu wafuate dini yako basi wahubiri na uwashawishi kuwa dini waliyo nayo si sahihi na ya kwako ndiyo sahihi, kuna wengi wameshawishiwa kuacha dini zao na kufuata zingine hivyo tumieni fursa hii bila kuleta uhasama kati yetu....
Wakati mwingine mnajionesha namna mlivyo.Kauli yako hii inahusikaje hapa?
Huyu jamaa ni mwendawazimu!
Ndugu yangu uliyedadavua Video ya Sheikh inaonekana hujui mambo mengi sana yanayoendelea chini ya kapeti kwenye haya maswala ya mauaji. Sheikh yuko sahihi kabisa, tena sana. Na wote waliokusikiliza ukidadavua wamekuona huelewi lolote, ndo maana hakuna aliyekoment kuhusu tafsiri yako. Mantiki kubwa ya sheikh ni kwamba, kama wauaji (Serikali au Wakristo wengine) wanaelewa kwamba wakimuua sheikh kwa sababu yoyote ile, maana yake ni kusababisha kifo kingine cha kiongozi wa dini ya kikristo, basi wauaji watajifikiria mara mbili, au wasiue kabisa. Huu ndo msingi wa aya na ndipo sheikh aliposimamia. Mdadavuaji jifunze zaidi, elimu haina mwisho na usiridhike na unachoamini sasa.
Kwa mfano Muislam akiuliwa na mpagana,bado Sheikh ataelekeza auawe Kardinali?
JokaKuu, hata mie sipendi kumwaga damu kwa kizembe bila ya sababu yoyote. Ila hawa jamaa lazima wajuwe kuwa dunia sasa ni kama Kijiji na wasifikiri wanaweza kuwa wanafanya mambo bila kujua kuwa wanaweza kudakwa na wao. Wanafanya mchezo na Wakatoliki na hawajui kuwa Vatican ilishauwa watu wote (Waarabu) ndani ya Jerusalem kwenye vita ya NJIA YA MSALABA. Waislaam itabidi waunde sijui silaha gani ili kukaribia maovu ya Wakatoliki.
Kama wanataka kumuamsha JINI aliyefungiwa kwenye Chupa huko Vatican basi waendelee ila jamaa wakija, mtu atalia.