[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Walizingua sana bora wangekupa Norma Saline at least...!!Ndio hayo mkuu
Hayana shida yana 98% efficiencyNdio hayo mkuu
Watakua walimpa saline for injection ambayo ni sahihi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Walizingua sana bora wangekupa Norma Saline at least...!!
Nikiweka/nikaweka?Nikiweka damu kidogo na maji kikasoma negative
NakaziaUlowekaji Unatuhenyesha Sana, Condom Haina Ladha
Eeeeeh? Kweli wajinga ndio waliwaoSiku za karibuni nilienda kununua hicho kipimo pharmacy nikapewa hayo maji badala ya buffer solution na nilipohoji kuhusu hilo, muuzaji aliniambia niondoe shaka hayo maji ni sawa na buffer solution.
Je, ni Kweli au alitaka hela yangu tu?
SD Bioline inauzwa famasi?Siku za karibuni nilienda kununua hicho kipimo pharmacy nikapewa hayo maji badala ya buffer solution na nilipohoji kuhusu hilo, muuzaji aliniambia niondoe shaka hayo maji ni sawa na buffer solution.
Je, ni Kweli au alitaka hela yangu tu?
UongoI presume walikupa water for injection, Hapanaa so sawa (in mkojani's voice) japokuwa inaweza kutoa reliable results, inatakiwa itumike in case hakuna
Wewe ni baba au mtoto wa familia?Hivi inakuwaje mpaka mtu unapima ukimwi kwanza ? Watu mnapenda kujistress sana