Maji yamelowana

Maji yamelowana

Mzee Shamte hakupaswa kushambuliwa kwa kipigo bali hoja zake zingejibiwa kwa hoja!
Kama ni kweli visiwa vile vinataka kukodishwa kwa mkataba wa umri wa mtu..hatuoni kuna shida pahala?

Mbona hii nj kama kata funua na tikitaka? Who is behind this featuring .. Maana huku Ngorongoro kule visiwa...Twafaaa...!

Sitaki kusema mengi yasijekunikuta ya mzee Shamte (84) Lakini ni wazi MAJI YAMELOWANA

Baada ya tour du loyale sasa hayawani hao on the Broadway to Uman..! Haya ndio matunda yake!? Maybe fruitless or rather fruits of the loom! Period!

Deal done! Yakitoka Ngilongilo kula nyama choma hayoo visiwani kushusha na supu ya pweza ngisi na karamali..!

Tumepigwa na kitu kizito mnooo.. Halafu kotekote! Mangungo wa Msovero is reincarnated..! What a pitiful painful loss! To have this dude back to life!

Maji yamelowana.. Yakikauka! Tutaimba hallelujah! Sio ile kuu lakini..!
Hivi ni kweli kwamba hawa ni wa shina moja? Yaani ni kaka na dada!?

Fruits of the loom!
Muwekezaji wa pesa nyingi anahitaji guarantee ya mda mrefu Ili na yeye arudishe pesa ya uwekezaji wake na faida maana hajaja kutoa msaada.
 
Mzee Shamte hakupaswa kushambuliwa kwa kipigo bali hoja zake zingejibiwa kwa hoja!
Kama ni kweli visiwa vile vinataka kukodishwa kwa mkataba wa umri wa mtu..hatuoni kuna shida pahala?

Mbona hii nj kama kata funua na tikitaka? Who is behind this featuring .. Maana huku Ngorongoro kule visiwa...Twafaaa...!

Sitaki kusema mengi yasijekunikuta ya mzee Shamte (84) Lakini ni wazi MAJI YAMELOWANA

Baada ya tour du loyale sasa hayawani hao on the Broadway to Uman..! Haya ndio matunda yake!? Maybe fruitless or rather fruits of the loom! Period!

Deal done! Yakitoka Ngilongilo kula nyama choma hayoo visiwani kushusha na supu ya pweza ngisi na karamali..!

Tumepigwa na kitu kizito mnooo.. Halafu kotekote! Mangungo wa Msovero is reincarnated..! What a pitiful painful loss! To have this dude back to life!

Maji yamelowana.. Yakikauka! Tutaimba hallelujah! Sio ile kuu lakini..!
Hivi ni kweli kwamba hawa ni wa shina moja? Yaani ni kaka na dada!?

Fruits of the loom!
Haya sasa, mlikuwa mnatutukana, nchi ndio hiyo inapigwa mnada.., ngoja tuone..
 
Mzee Shamte hakupaswa kushambuliwa kwa kipigo bali hoja zake zingejibiwa kwa hoja!
Kama ni kweli visiwa vile vinataka kukodishwa kwa mkataba wa umri wa mtu..hatuoni kuna shida pahala?

Mbona hii nj kama kata funua na tikitaka? Who is behind this featuring .. Maana huku Ngorongoro kule visiwa...Twafaaa...!

Sitaki kusema mengi yasijekunikuta ya mzee Shamte (84) Lakini ni wazi MAJI YAMELOWANA

Baada ya tour du loyale sasa hayawani hao on the Broadway to Uman..! Haya ndio matunda yake!? Maybe fruitless or rather fruits of the loom! Period!

Deal done! Yakitoka Ngilongilo kula nyama choma hayoo visiwani kushusha na supu ya pweza ngisi na karamali..!

Tumepigwa na kitu kizito mnooo.. Halafu kotekote! Mangungo wa Msovero is reincarnated..! What a pitiful painful loss! To have this dude back to life!

Maji yamelowana.. Yakikauka! Tutaimba hallelujah! Sio ile kuu lakini..!
Hivi ni kweli kwamba hawa ni wa shina moja? Yaani ni kaka na dada!?

Fruits of the loom!
Watengeneza wafalme wapo kazi kujihakikishia ufalme endelevu..!! Ukiangalia kwa undani hata yule aliyeko pale walipo wao kwa maana ya ukuu wa eneo hilo, alianza kupotea... Lakini akaja dada wa kaka ambaye kaka anaelewana naye sana akarudi himayani..

Ikatokea kisa kinachotaka kulipwa kisasi maana walishaambiwa waliotoka wasisikie kuwasha...!! Kuwashwa ni wakati ukiwa kitini tu..!! Nje ya hapo si ruhusa, ukizingatia simba wa yuda alijiamulia kila kitu kwa aonavyo yeye. Na ndiyo maana yale masandarusi yaliyokuwa yanapelekwa kule alikotokea hayajulikani yal;ikuwa yanapokelewa na nani..!! Na ndiyo maana kesi ilipoamuliwa na Mungu kwa hukumu ile, wale wa eneo alilotoka wakawa na wanaendelea kubisha kila cha sasa..!!

Tusubiri maji yakauke, maana yamelowa chapchapa
 
Nianzie mwisho kwenye nyama.

Hilo shina laweza sana kuwa moja hata kama mti wa huku na wa huko ila vikawekewa mbolea vikakua vyote.

Huu uzi uangalie ukishindwa wahi huku shamba tuje tutafute pa kufungua nyumba ya Bwana., watakapotusogeza kwa lengo la kutua vya angani tutajua la kufanya, usianze kuuliza kuhusu oops mkweo

Mtani mjini panaelekea kukushinda.
Mjini kushindikana ni fikra tu na si uhalisia..!! Wapo watakaoamini hilo na wapo watakaoona tofauti na wengine, ukiwemo wewe, waonavyo..!! Maana kila mimi nikifanyacho, wananzengo hutawanyika kwenye makundi kadhaa, lakini makubwa matatu kama vile Rais, makamu wake na waziri mkuu..!!! Kwa wale wa kundi la kwanza, wao watanitazama kwa namna mimi ninavyowaeleza, lakini wale wa makamu wa watanitazamani tofauti na maelezo yangu, na wa wa kwa waziri mkuu wao inategemea tu nini kinajiri mara baada ya wao kujihusisha na mjadala
 
Mjini kushindikana ni fikra tu na si uhalisia..!! Wapo watakaoamini hilo na wapo watakaoona tofauti na wengine, ukiwemo wewe, waonavyo..!! Maana kila mimi nikifanyacho, wananzengo hutawanyika kwenye makundi kadhaa, lakini makubwa matatu kama vile Rais, makamu wake na waziri mkuu..!!! Kwa wale wa kundi la kwanza, wao watanitazama kwa namna mimi ninavyowaeleza, lakini wale wa makamu wa watanitazamani tofauti na maelezo yangu, na wa wa kwa waziri mkuu wao inategemea tu nini kinajiri mara baada ya wao kujihusisha na mjadala
Unataja majina makubwaaaa
 
Mzee Shamte hakupaswa kushambuliwa kwa kipigo bali hoja zake zingejibiwa kwa hoja!
Kama ni kweli visiwa vile vinataka kukodishwa kwa mkataba wa umri wa mtu hatuoni kuna shida pahala?

Mbona hii nj kama kata funua na tikitaka? Who is behind this featuring maana huku Ngorongoro kule visiwa. Twafaaa!

Sitaki kusema mengi yasijekunikuta ya mzee Shamte (84) Lakini ni wazi MAJI YAMELOWANA

Baada ya tour du loyale sasa hayawani hao on the Broadway to Uman! Haya ndio matunda yake!? Maybe fruitless or rather fruits of the loom! Period!

Deal done! Yakitoka Ngilongilo kula nyama choma hayoo visiwani kushusha na supu ya pweza ngisi na karamali!

Tumepigwa na kitu kizito mnooo.. Halafu kotekote! Mangungo wa Msovero is reincarnated. What a pitiful painful loss! To have this dude back to life!

Maji yamelowana. Yakikauka! Tutaimba hallelujah! Sio ile kuu lakini..!
Hivi ni kweli kwamba hawa ni wa shina moja? Yaani ni kaka na dada!?

Fruits of the loom!
 
Hapa nimetoka mkavu kabisa, mzee punguza code nasi tupate kuelewa japo kidogo
Mzee Shamte mtoto wa Mohamed Shamte waziri mkuu wa serikali ya Zanzibar iliyopinduliwa alifikiri CCM ni watu hadi kumsaliti baba yake.Anavuna alichopanda.kimsingi Zanzibar inauzwa na Tanzania kwa ujumla,ni swala la muda tu maneno ya Jobo yanatimia.Kule ngorongoro na Loliondo kazi imekwisha anasubiriwa shetani kuhitimisha.
 
Mzee Shamte hakupaswa kushambuliwa kwa kipigo bali hoja zake zingejibiwa kwa hoja!
Kama ni kweli visiwa vile vinataka kukodishwa kwa mkataba wa umri wa mtu hatuoni kuna shida pahala?

Mbona hii nj kama kata funua na tikitaka? Who is behind this featuring maana huku Ngorongoro kule visiwa. Twafaaa!

Sitaki kusema mengi yasijekunikuta ya mzee Shamte (84) Lakini ni wazi MAJI YAMELOWANA

Baada ya tour du loyale sasa hayawani hao on the Broadway to Uman! Haya ndio matunda yake!? Maybe fruitless or rather fruits of the loom! Period!

Deal done! Yakitoka Ngilongilo kula nyama choma hayoo visiwani kushusha na supu ya pweza ngisi na karamali!

Tumepigwa na kitu kizito mnooo.. Halafu kotekote! Mangungo wa Msovero is reincarnated. What a pitiful painful loss! To have this dude back to life!

Maji yamelowana. Yakikauka! Tutaimba hallelujah! Sio ile kuu lakini..!
Hivi ni kweli kwamba hawa ni wa shina moja? Yaani ni kaka na dada!?

Fruits of the loom!
Message sent and received very clearly
 
Watengeneza wafalme wapo kazi kujihakikishia ufalme endelevu..!! Ukiangalia kwa undani hata yule aliyeko pale walipo wao kwa maana ya ukuu wa eneo hilo, alianza kupotea... Lakini akaja dada wa kaka ambaye kaka anaelewana naye sana akarudi himayani..

Ikatokea kisa kinachotaka kulipwa kisasi maana walishaambiwa waliotoka wasisikie kuwasha...!! Kuwashwa ni wakati ukiwa kitini tu..!! Nje ya hapo si ruhusa, ukizingatia simba wa yuda alijiamulia kila kitu kwa aonavyo yeye. Na ndiyo maana yale masandarusi yaliyokuwa yanapelekwa kule alikotokea hayajulikani yal;ikuwa yanapokelewa na nani..!! Na ndiyo maana kesi ilipoamuliwa na Mungu kwa hukumu ile, wale wa eneo alilotoka wakawa na wanaendelea kubisha kila cha sasa..!!

Tusubiri maji yakauke, maana yamelowa chapchapa
Na ndiyo maana kesi ilipoamuliwa na Mungu kwa hukumu ile, wale wa eneo alilotoka wakawa na wanaendelea kubisha kila cha sasa..!!

Tusubiri maji yakauke, maana yamelowa chapchapa
 
Taifa halina dira kila anaekuja anakuja na yake lazima tuone tofauti!. Walinda mipaka mi huwa nawashangaa hivi unawezaje kulinda pembeni yako nawakati katikati yako inaliwa!..
Ndani kuna watu wanajiita "wasalama". Simaanishi Sungusungu, yaani ni watu wa ndanindani huko deep. Lakini hata huo Usalama wao haujulikani ni Usalama wa nini. Kwa nchi nyingine hawa ndo wangerekebisha kukubali au kukataa madudu ya ndani, kurekebisha au kunyoosha makandokando. Lakini hawa wa kwetu wapo, wapowapo tu ni Bora Sungusungu wa Buchosa wangepewa hii kazi.
 
Mbona ya huko yanaeleweka.
Mwinyi alisema kuwa hivo visiwa havitumiki. Sasa wakaona haja ya kuvifanya viwe productive.
 
Back
Top Bottom