Maji yamelowana

Maji yamelowana

Navyo kumbuka tulikubaliana nchi hii inahitaji kufunguliwa na huko ndo kufunguliwa kwenyewe.

Tusimsumbue mama huyu, amejaa huruma, utu na Kila kitu chema nakuona kwake.

Fungua nchi mama, lakini nakushauri tu ukatae Ile kauli ya "kuupiga mwingi" kwani maana yake unakosa control Hivyo mpira kuwa mwingi ni kuwa nje ya uwanja, kwako Mwl. Kashasha.
 
Ndani kuna watu wanajiita "wasalama". Simaanishi Sungusungu, yaani ni watu wa ndanindani huko deep. Lakini hata huo Usalama wao haujulikani ni Usalama wa nini. Kwa nchi nyingine hawa ndo wangerekebisha kukubali au kukataa madudu ya ndani, kurekebisha au kunyoosha makandokando. Lakini hawa wa kwetu wapo, wapowapo tu ni Bora Sungusungu wa Buchosa wangepewa hii kazi.
Tuuze nchi tugawane hela..😂
 
Mangungo's hawa wasagara wanatuona SSI hamnazo kabisa
Sasa tutaweza uzwa while tunatembea kujitaftia ugali wetu

Lakini kwa mantiki nyingine SSI wananchi tunayataka haya
 
sasa na wale watunga sheria wa mjengoni mesikia eti hawajui kula wala kuvaaa wanajua kunywaa tuuu sasa haya mazito ya kule na huku wataweza kuyang'amuaaaa ?
 
na waje wawekezaji wemgi tumechelewa saana
tamzania iwe kama dubai au hongkong yaan
uktaka kujua ufukara sio kitu kizur angalia pale jangwam palitakiw pawe na ma slky scrparer pale
 
Uamuzi huu umekuja baada ya Shamte kuzungumza mambo mbalimbali na video yake kusambaa huku moja ya kauli zake ikisema: “Ukitaka utajiri acha uongozi ukafanye biashara, miiko ya uongozi haifuatwi”.
Screenshot_20220614-121711.jpg
 
Mi huwa najiuliza Tiss na Jw ni mazombie au wenyewe sio wananchi wa Tanzania! Ndio matatizo ya darasa la saba na form four failures kuwa kwenye sehemu nyeti.
 
Back
Top Bottom