Maji yamefika shingoni, namuacha mke wangu

Maji yamefika shingoni, namuacha mke wangu

Tatizo mnakutana na watu bar, kwenye daladala wanawavutia kwa ngozi zao mnaenda oa.

humu kuna tatizo gani? au wote watumiao usafiri huu ni watu hovyo hovyo?
 
Pole Sana Mkuu
Yaan Nikisikia Hivyo Ham Ya Kuoa Ndo Inaniishia Kabisaa Maana Sioni Maana Ya Kuoa Maana Kama Nivitu Vya Kwenye Ndoa Mbona Kitaa Vipo Vingi Tu!
 
Usimwache mbadilishie sim na namba ya sim au mpe yako akae nae naw ukae na ya kwakoo
 
hayo yote anayofanya yametokana na nini au ni ghafla tu???
 
Tukushauri ili baadae umwambie walinishauri kukuacha nikaona wivu ndo unawasumbua tu, chukua maamuzi yoyote!!
 
Bora ukosee njia, wasamaria watakuelekeza...usije ukakosea kuoa au kuolewa.
 
Wanawake wote Dunian % 85 wanaendeshwa na moyo,moyo ndio una endesha Akili,Wanaume % 90 wanaendeshwa na akili,akili ndio inaendesha Moyo,na ndio maana tunaweza ishi na hao viumbe bila kuwa na kinyongo,lakin mwanamke akipata pesa,na wewe mwanaume huna pesa,na mwendo wao ni moyo kuendesha akili hapo lazima ufukuzwe maana moyo wake utakuwa unatamani uhuru,

mwanamke hana uwezo wa kutambua ataishije miaka mitano mbele,yeye pale alipo,alichopata ndio iman yake huja kuwa ndio maisha harisi,mtakubaliana na mimi,mwanamke ambae anaishi huku akitegemea Akili kuishi huyo anaweza hata akaolewa na mwanamme asiempenda na ndoa ikawa sawa na majirani wakatamani maisha yake,maana upendo wake kwa muda huo kwenye ndoa hakuna,huyo mala nyingi kila jambo afanyalo hutumia akili zaidi kuliko moyo.....Sa mkuu,Vumilia pia vuta muda huo ni upepo tu unapita na itabaki story....pole sana

Kumbe ndio maana chalii yangu dem wake kamuacha(mchizi ndio kaachwa) kisa dini zao tofaut na walikaa ktk love kwa mwaka mzima anadai haoni future kisa wazaz watagomba, cha ajabu dada yake kaolewa na mtu wa dini hiyohiyo ya mchizi wangu. Ajabu zaidi kaenda kudate na mtu ambaye bado anakula kwa wazazi......mchizi wangu yuko poa tu. Na dem kakiri jamaa hana tatzo lolote ila haja ya moyo wake kuona anaolewa na mtu wa dini yake. Moyo unaendesha akili.....jamaa alitaka kumuoa kwa namna yyte ile. Kashindwa kuhold on, anamwambia mchizi wabaki marafiki tu. Ukweli bado anamfeel lkn anajilazimisha kumwacha.
 
utaacha wangapi kakangu, tumia hekima zaidi, kaa nae ongea nae, ikishindikana waite wazee wenye busara waongee nae na ikishindikana kabisa nenda hata kanisani( kama ww ni mkristo) ukaongee na wazee wa kanisa, ndoa inahitaji uvumilivu wa hali ya juu. pia usiache kusali kumwomba Mungu wako, pengine huo ndo muarobaini wa tatizo lako.
 
:sad:hiyo sio dawa dawa Ni kukaa nae pamoja kulizungumzia Hilo suala
 
yani hapo mkuu usiangalie watu watasemaje... maana joto la mwili likizidi unalipata mwenyewe...
ACHANA NAE
 
Sijui unakumbana na mengine mangap ambayo hujayasema but utaacha wangapi?wakike wapo wengi sana ila wanawake wa kuishi nao ni wachache unavyopanic haitakusaidia wewe mpe silent treatment huku ukimcheck nyendo zake taratiiiibu lazima utamkamata tu.hiyo ya kiburi wanawake wengine wakiingia kwenye ndoa wanajisahau ......but poleee
 
Usimnunie wala kumuacha, wewe mvumilie tu utamzoea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom