Maji yamefika shingoni, namuacha mke wangu

Maji yamefika shingoni, namuacha mke wangu

Tatizo mnakutana na watu bar, kwenye daladala wanawavutia kwa ngozi zao mnaenda oa.
 
ulivokuw una apa kanisani kuw nitamvumilia kw shida na raha ulidhan shida ni kulala njaaa?????vumilia tuu nd ndoa
 
Wanawake wote Dunian % 85 wanaendeshwa na moyo,moyo ndio una endesha Akili,Wanaume % 90 wanaendeshwa na akili,akili ndio inaendesha Moyo,na ndio maana tunaweza ishi na hao viumbe bila kuwa na kinyongo,lakin mwanamke akipata pesa,na wewe mwanaume huna pesa,na mwendo wao ni moyo kuendesha akili hapo lazima ufukuzwe maana moyo wake utakuwa unatamani uhuru,

mwanamke hana uwezo wa kutambua ataishije miaka mitano mbele,yeye pale alipo,alichopata ndio iman yake huja kuwa ndio maisha harisi,mtakubaliana na mimi,mwanamke ambae anaishi huku akitegemea Akili kuishi huyo anaweza hata akaolewa na mwanamme asiempenda na ndoa ikawa sawa na majirani wakatamani maisha yake,maana upendo wake kwa muda huo kwenye ndoa hakuna,huyo mala nyingi kila jambo afanyalo hutumia akili zaidi kuliko moyo.....Sa mkuu,Vumilia pia vuta muda huo ni upepo tu unapita na itabaki story....pole sana

Pelekeni watoto wenu wa kike shule na wawe exposed utaona wanatumia akili zao vizuri tu. Ukiona mke ana kiburi ujue kuna chanzo kaa jitathmini nini umemfanyia maana visasi kwa wanawake ni oda of the day
 
dah, pole sana mkuu. Ila kumbuka mke anahitaji vitu hivi, UPENDO, GOOD FAQ NA KUMTUNZA. Hebu anza upya kwenye hayo angalia wapi ulilega jaribu kuweka sawa, ikishindikana kuanza upya sio ujinga

nakuunga mkono mkuu. mtoa mada jiangalie hasa hapo kwenye good fak.
 
Usikimbilie kuachana kaa chini muongee tumia wazazi, washenga, viongozi wa dini.

Ndoa zina changamoto nyingi na kitu Kibaya vijana wa Sasa tumeshindwa kuzikabiri.

Unaweza ukamuacha huyo ukaoa mwingine mwenye matatizo makubwa kuliko huyo.
 
mwanamke hana uwezo wa kutambua ataishije miaka mitano mbele,yeye pale alipo,alichopata ndio iman yake huja kuwa ndio maisha harisi,mtakubaliana na mimi,mwanamke ambae anaishi huku akitegemea Akili kuishi huyo anaweza hata akaolewa na mwanamme asiempenda na ndoa ikawa sawa na majirani wakatamani maisha yake,maana upendo wake kwa muda huo kwenye ndoa hakuna,huyo mala nyingi kila jambo afanyalo hutumia akili zaidi kuliko moyo.....Sa mkuu,Vumilia pia vuta muda huo ni upepo tu unapita na itabaki story....pole sana

hapa ndiyo umenifurahisha, hivi wewe umejipa madaraka ya kuwa Mwenyezi Mungu kujitambua utaishije hata hiyo kesho tu na wala siyo miaka mitano ijayo?

aste aste kijana
 
Wanawake wote Dunian % 85 wanaendeshwa na moyo,moyo ndio una endesha Akili,Wanaume % 90 wanaendeshwa na akili,akili ndio inaendesha Moyo,na ndio maana tunaweza ishi na hao viumbe bila kuwa na kinyongo,lakin mwanamke akipata pesa,na wewe mwanaume huna pesa,na mwendo wao ni moyo kuendesha akili hapo lazima ufukuzwe maana moyo wake utakuwa unatamani uhuru,

mwanamke hana uwezo wa kutambua ataishije miaka mitano mbele,yeye pale alipo,alichopata ndio iman yake huja kuwa ndio maisha harisi,mtakubaliana na mimi,mwanamke ambae anaishi huku akitegemea Akili kuishi huyo anaweza hata akaolewa na mwanamme asiempenda na ndoa ikawa sawa na majirani wakatamani maisha yake,maana upendo wake kwa muda huo kwenye ndoa hakuna,huyo mala nyingi kila jambo afanyalo hutumia akili zaidi kuliko moyo.....Sa mkuu,Vumilia pia vuta muda huo ni upepo tu unapita na itabaki story....pole sana

Mh! Akili za kuambiwa changanya na zako!... JK
 
why upate stress za kzembe.pga chn karbu chama la bachelor unikitaka 2namalzana leo leo to
 
Nilijua kuna maafuriko uko kwenu!
Ila ndio ujue keshampata mtu anaemzuzua uyo
 
Huyo nae!!Wenzake kila siku tunasugua goti kuomba mume yeye ana....
Labda ujikague wewe kwanza,yawezekana kuna kitu umemfanyia na yeye analipiza.

Njoo kwangu maombi yako yamejibiwa
 
Maji yameshanifika shingoni nataka kufanya maamuzi magumu namwacha mke, sababu moja, ameshakua na kiburi dharau mbili, chini sasahivi hakukaliki kama kachanjiwa.

Nikitoka nyuma nae safari tatu, simu yake sasa hivi ipo busy kama ya customer care na zaidi sasa hivi ameiweka pin code na usiku inazimwa ukiwasha password.

Nimejitaidi kumrudisha kwenye mstari harudi zaidi ni majibu yake mpaka yananifanya nirudi nyumbani usiku wa manane hata hamu ya ndoa sina nahisi nakula vilivyokwishaliwa mchana na wenzangu
.

* Wewe umechangia kwa kiasi gani kubadilika kwa mwenendo wa huyo 'mkeo'?

* Unavyosema 'umejitahidi kumrudisha kwenye mstari' ni vitu gani ambavyo umefanya ili tuelewe ni vitu gani hujafanya

* Unavyorudi nyumbani usiku wa manane unakuwa wapi usiku kabla hujarudi nyumbani?

* Anajua 'password' ya simu yako?
 
Kumwacha si suluhu ya tatizo husika,tafadhali tuliza akili,omba kwa MUNGU akusaidie,jaribu kumsemesha kwa upole na hekima kubwa!!hakuna mwenye UKAMILIFU,utampata mwingine mwenye matatizo makubwa kuliko hayo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom