Maji ya bahari ya Hindi yaibukia Mjimkongwe Zanzibar na soko kuu la Darajani

achana na zanzibar, unajua hata kisiwa cha ukerewe kule mwanza kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kupungua ukikaa miaka mi5 ukirudi unakuta maji yamesogea sana kuja vijijini

Hata huku goziba, nkome, itabagumba, seronera ,juma na ghana ,kote hali ni hiyo
 
Wewe unajiita linguistics halafu unashindwa kuelewa kuwa mijitu / mitwana vyote ni katika utamu wa lugha?

Nimefafanuwa kiduchu kuhusu mijitu hapo juu, amma kuhusu watwana mbona ni sifa nzuri tu na mpaka wengi wetu hupewa jina Kitwana.

Tatizo lenu ni lugha, hiki Kiswahili kwenu ni lugha ya kambo, kwetu ni lugha mama.
Acha kujifanya una uso wa mbuzi...najua kuna watu wanaitwa Mtumwa lkn neno watwana linavotumika kuadress wabara ni kwa mtazamo wa kibaguzi "eti watwana wa bara" kuwa bado mnapalilia na kuenzi biashara ya utumwa. Mtwana ni mtumwa. Ni kinyume cha bwana. Acha hizo bintii!!
 
Pamoja na hayo bado sisi ni ndugu majanga ya bara ni majanga ya zanziba na majanga ya zanzibar ni majanga ya bara tuachane na wanasiasa uchwara tuulinde muungano wetu sisi wote ni wamoja.
Kwanini usitake udugu na waKenya manake huna haja hata ya kuvuka bahari.
 
Kuzama kwa kisiwa huanza hivi hivi jaman..ikitokea maji yamejaa sana kila upande itakuwaje

hata mm nawaza hivyo, maji ya bahari si mchezo kisiwa ni kidogo inabidi wana sayansi waliangalie hili jambo kwa jicho la tatu
 
Hao waandishi wa itv itakuwa ni mijitu ya bara na hawakuchukuwa fursa ya kuwauliza wenyeji kuhusu hali hiyo.

Hiyo ni hali ya kawaida sana Unguja wakati wa bamvua kubwa.

Kuna wakati barabara ya forodhani Unguja huwa haipitiki msimu wa bamvua kubwa.
Wewe mzinjibar usiwe zuzu eti hali ya kawaida! I can assure you that is a bad signal - Indonesia, Japan and the like they never knew when it's coming. Better watch NaGeo channel and understanding how the unexpected can happen.
 
Hao waandishi wa itv itakuwa ni mijitu ya bara na hawakuchukuwa fursa ya kuwauliza wenyeji kuhusu hali hiyo.

Hiyo ni hali ya kawaida sana Unguja wakati wa bamvua kubwa.

Kuna wakati barabara ya forodhani Unguja huwa haipitiki msimu wa bamvua kubwa.
mijitu mmh
 
Hao waandishi wa itv itakuwa ni mijitu ya bara na hawakuchukuwa fursa ya kuwauliza wenyeji kuhusu hali hiyo.

Hiyo ni hali ya kawaida sana Unguja wakati wa bamvua kubwa.

Kuna wakati barabara ya forodhani Unguja huwa haipitiki msimu wa bamvua kubwa.
Watch your mouth!Mijitu ya bara ni kina nani?!?!?! Nani asiyejua kuwa hali ya hewa inabadilika. Nani asiyejua kuwa Zanzibar itakuja kuzama yote?!?!?!??!
 
Watch your mouth!Mijitu ya bara ni kina nani?!?!?! Nani asiyejua kuwa hali ya hewa inabadilika. Nani asiyejua kuwa Zanzibar itakuja kuzama yote?!?!?!??!

Wacha kiherehere, usome uzi utapata majibu kuhusu mijitu ya bara.

Zimezama nyingi sana kabla ya Zanzibar, hiyo wala isikutishe.
 
Back
Top Bottom