Ha ha ni utundu tuu ule na utoto.
Bado nahis siyo salama sababu gass zinazotumika R22 na r407 zina amonia ndani yake ambayo kiafya si rafiki
Maji hayo yanatokana na hewa inayo tuzunguka.Hivyo ni maji kama ya mvua ila tofauti ndani ya A/C sio pasafi maana yana dondoka toka kt. Condensor na kutua katika bati la A/C ndani ambamba pana mwinamo au kifereji hadi kt. bomba litoalo nje ya A/C hivyo sawa na kusema huwezi kupasafisha mpaka service hivyo sawa na bati za nyumba ndege uweza kunyea.Hivyo kuyachemsha ni solution ya kuweza kuyatumia kama ni A/C yako husafishwa kwa ndani mara kwa mara na ikiwa haina kutu.
Kama hujui ni bora kupita tu,kwenye friji ukiweka matunda nayo sio salama,?kwa kuwa gas inapita kwenye everporetor?
sometime mnakuwa wabishi kama pu*bu za farasi iz not safe read more article about it.kunywa siyo safe.
Maji hayo yanatokana na hewa inayo tuzunguka.Hivyo ni maji kama ya mvua ila tofauti ndani ya A/C sio pasafi maana yana dondoka toka kt. Condensor na kutua katika bati la A/C ndani ambamba pana mwinamo au kifereji hadi kt. bomba litoalo nje ya A/C hivyo sawa na kusema huwezi kupasafisha mpaka service hivyo sawa na bati za nyumba ndege uweza kunyea.Hivyo kuyachemsha ni solution ya kuweza kuyatumia kama ni A/C yako husafishwa kwa ndani mara kwa mara na ikiwa haina kutu.
motor ulikua unapeleka wapi?
mi naikumbuka kazi ya mota by the time tulisaka sana lakini ilikua ni kwa ajiki ya kuchezeaNilitaka kuichezea tuu. Kuwa nayo tuu ile kwangu ilikuwa burudani sana.
mi naikumbuka kazi ya mota by the time tulisaka sana lakini ilikua ni kwa ajiki ya kuchezea