Maji na umeme umekushinda umebaki na mdomo “ Who are You” !

Maji na umeme umekushinda umebaki na mdomo “ Who are You” !

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,268
Reaction score
13,895
Huyu Mama na Chama cha Mafisadi hadi leo watu hawana maji mji mkubwa watu wana nunua maji na mgao wa umeme. Tusishangae hawashindi mpaka kuiba kura maana ni nani mwenye akili zake atawapigia kura watu ambao hawawezi kuleta maji na kutegemea mvua kwa miaka 60! Walisema tutauza umeme nje leo kuna mgao!

Yaani hawa si wenzetu tupiganie uhuru wa nchi hii nchi haipo huru kuchagua, mahakama haziko huru ni lazima tupigane mpaka mwisho
 
Huyu Mama na Chama cha Mafisadi hadi leo watu hawana maji mji mkubwa watu wana nunua maji na mgao wa umeme. Tusishangae hawashindi mpaka kuiba kura maana ni nani mwenye akili zake atawapigia kura watu ambao hawawezi kuleta maji na kutegemea mvua kwa miaka 60! Walisema tutauza umeme nje leo kuna mgao!

Yaani hawa si wenzetu tupiganie uhuru wa nchi hii nchi haipo huru kuchagua, mahakama haziko huru ni lazima tupigane mpaka mwisho
Who are you?
 
Back
Top Bottom