Maji marefu kamchanja nani chale hadi kunako?

Maji marefu kamchanja nani chale hadi kunako?

i pad3

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
1,518
Reaction score
378
pumba lazima badae zijitenge, tulianza na Mungu na tumemaliza naye, wao walianza an majimarefu na wamemaliza na majimarefu.

na leo imethibitika kuwa nani kachanjwa na majimarefu hadi kunako kwani sisi tulikuwa na Mungu toka mwanzo
 
Wamepata walichopanda,sasa warudi na huyo majmarefu wakajigange upya,kazi yao kutumia jina la Mwalimu vibaya kuwadanganya watu wazima kwa pipi huku wao wakichezea urithi wa nchi yetu.waelewe zama za ujinga zinaelekea mwisho,waje na sera na si propaganda.
 
Hivi kweli Huyu Lusinde Alivyosema Maji Marefu Kawachanja wengi chale alikuwa anamaanisha Kitu Gani? Ina maana ni live kuwa Maji marefu ndio Mchawi wa CCM Baada ya shehe Yahaya? Lakini hata kwenye Madili ya kawaida ni Haki kwa hawa Vigagula Kutajwa Hadharani kwenye Majukwaa ya siasa? Inamaana Tanzania ni Taifa linalomtegemea Shetani? Mbona Huyu Maji Marefu Hajajitokeza Kumkatalia Huyu STD 7 LUsinde!! Amekubaliana naye??
 
pumba lazima badae zijitenge, tulianza na Mungu na tumemaliza naye, wao walianza an majimarefu na wamemaliza na majimarefu.

na leo imethibitika kuwa nani kachanjwa na majimarefu hadi kunako kwani sisi tulikuwa na Mungu toka mwanzo
Mwigulu nchemba
Livingstone Lusinde
Endeleza hapo!!
 
Niwalambe nisiwalambeeee? Ooooooh! Wadau sory sory nimejisahau maana jamaa alitumia hili neno sana mpaka limetuathiri nafuta kauli !!!

Sasa nasema tulianza na mungu tumemaliza na mungu .......je wenyewe walianza na naniiiii?
 
Niwalambe nisiwalambeeee? Ooooooh! Wadau sory sory nimejisahau maana jamaa alitumia hili neno sana mpaka limetuathiri nafuta kauli !!!

Sasa nasema tulianza na mungu tumemaliza na mungu .......je wenyewe walianza na naniiiii?

Mungu akubariki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom