MZEE SERENGETI
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 214
- 10
Ndugu zangu maji ni siku ya NNE:angry: haya jatoka sijui shida iko wapi,lakini ukiletewa Bili inatisha ukingalia Bili unayoletewa na siku ambazo maji yametoka Tofauti ni kubwa sana,Tufanyeje USHAURI JAMANI