Majeshi ya Urusi yameukimbia mji wa KHERSON

Majeshi ya Urusi yameukimbia mji wa KHERSON

Ila Precision ya HIMARS ni hatari,mwezi uliopita Urusi walificha boti zao chini ya Daraja la Antonovsky,huko Kherson ili kuzikinga na Makombora ya HIMARS lakini cha ajabu zile boti zilifikiwa na kulipuliwa...mpaka Leo bado najiuliza zile roketi za Himars zilipenya penyaje mpk kuzifakamia boti za Supapawa zilizofichwa chini kabisa ya Daraja!!!!!![emoji848]
 
Kherson ambako kunapatikana majiji makubwa ya KHERSON, BERYSLAV na SNIHURIVKA ikumbukwe mkoa huu umegawanywa na MTO DNIPER katika pande mbili za kushoto (Mashariki) na Kulia (Magharibi)
Upande ambao Urusi amesalimu Amri Una vijiji si chini ya 70 ambavyo vyote vitakuwa chini ya UKRAINE, na maamuzi haya yamekuja sababu hakulindiki tena kwa Ukraine kukata njia zote za kuleta mahitaji muhimu upande wa kulia kutoka kushoto na pia Ukraine imevunja ukuta wa jiji la SNIHURIVKA na kuhatarisha siku chache zijazo wanajeshi wa Urusi kuzingirwa upande mzima wa Kherson.
Maamuzi ni sahihi kwa Urusi ingawa inauma Sana kupoteza jiji la Kherson,
Mkuu kwani na wewe umeumia? Tuagize morphine au tramadol? Maana ni kama Diclofenac haiwezi kufua dafu kwa maumivu wanayopokea warusi wa morogoro kibaigwa.
 
Ila Precision ya HIMARS ni hatari,mwezi uliopita Urusi walificha boti zao chini ya Daraja la Antonovsky,huko Kherson ili kuzikinga na Makombora ya HIMARS lakini cha ajabu zile boti zilifikiwa na kulipuliwa...mpaka Leo bado najiuliza zile roketi za Himars zilipenya penyaje mpk kuzifakamia boti za Supapawa zilizofichwa chini kabisa ya Daraja!!!!!![emoji848]
Tumuite technical advisor wa Himars mr T14 Armata atupatie maelezo juu ya hizi Himars.
 
Acheni Russia akimbie Kherson,hapa Himars zikibutua pontoon bridge la warusi. Hii ni last week

Russo Ukranian War Updates
@CaliJournalism
[emoji1255][emoji635] #Ukrainian forces attacked the #AntonovskyBridge area again yesterday. This time it seems that the impacts occurred against the pontoon bridge built by #Russia parallel to the #Antonovsky bridge.

 
Warusi wa kibugumo waje sasa mbuzi wale .
Pigaaaaaa wanywa gongo haoaaaaa
tuliwaambia toka mwanzo ila hawakusikia, sasa tunawasubiri waje watuambie sababu kuu ya Putin kuamua kuondoka Kherson.

Umuhimu wa Ukraine kuitwaa Kherson:

"Kherson is a gateway to Crimea," says Marina Miron, researcher in defence studies at Kings College London. "Recapturing it would pave the way to reconquering Crimea, which Ukraine aims to do in this war."

Kherson's location is also important, says Forbes Mackenzie, a former British Army intelligence officer and chief executive of Mackenzie Intelligence Services. "Getting control of the Dnipro river is important because it runs right into the centre of Ukraine," he says.
 
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imeviamlu vikosi vyake kuukimbia mji wa KHERSON kabla mji huo haujazingirwa na majeshi ya Ukraine.

Akiongea na waandishi wa habari,Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Urusi amesema Kuwa imekuwa vigumu zaidi kupeleka mahitaji Muhimu kwa wanajeshi walioko katika mji huo baada ya njia mhimu hasa madaraja kuharibiwa na Makombora ya HIMARS kutoka Ukraine.

Russian forces to retreat from the west bank of the Dnieper river in the face of Ukrainian attacks. Russia orders troops to pull back from Kherson city
Duh!...Jimbo letu jipya tumeshindwa kulilinda ?
1954 lee van cliff mohamedidrisa789 dudus
 
I THINK THIS IS STUPIDITY UKO BONGO SIO DIPLOMATIC UNAJIFANYA UNAFIATILIA VITA YA UKRAINE NA RUSSIAN HUO NI UPUMBAVU NA MAWAZO MGANDO DIPLOMATIC TUNAWAJUA WENGI ILA KUZA UCHUMI WAKO KWANZA ACHA UJINGA NA OBSESSION SIJUI KOREA KASKAZINI,SIJUI RUSSIA ,SIJUI MAREKANI BLAH BLAH NNYINGI
Hili ndio jukwaa sahihi kujadili hayo kama unataka kujadili uchumi nenda jukwaa husika....usipangie watu maisha huwalishi wewe.
 
Hapana. Jimbo la KHERSON limegawanywa katikati na mto DNIPRO RIVER Kati ya West DNIPRO River na East Dnipro River. Mji mkuu wa Jimbo la KHERSON Ni KHERSON City. Majeshi ya Urusi yamefurushwa Magharibi mwa mji wa KHERSON na kuelekea Mashariki mwa mji wa KHERSON.

Kwahiyo baada ya kulikomboa Jimbo la Magharibi la KHERSON,basi Majeshi ya Ukraine Yana Kazi kubwa na kuvuka Mto DNIPRO na kwenda kulikomboa Mashariki mwa Jimbo la KHERSON. Wakifanikiwa zoezi Hilo basi CRIMEA itakuwa Pua na mdomo na majeshi ya Ukraine.
Kinachotakiwa ni kulivunja kwanza daraja LA Crimea ili warusi wasipate pa kutokea

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom