Majeshi ya Urusi yameukimbia mji wa KHERSON

Majeshi ya Urusi yameukimbia mji wa KHERSON

Kwani mkuu,
Na wewe kwenye huu Uzi umefata Nini aisee?

Jf Si Ina nyuzi nyingi TU?
Kwani ulishindwa kupita kimya kimya?

Kwani Wee jukwaa la uchumi ukuliona?

au huku Ndo kuwashwa washwa kwenyewe alikosemaga raisi mkapa?[emoji848]
jamaa kawaambiq ukwel , Urusi ime waharib akili vijana wasio na ajira , wakihisi tiba ni Urusi kushinda vita wkt wanaamkia jf wanalalia jf , wao ugumu 2a maisha unawafanya washabikie hata ugaidi wa Putin
 
Habar mbaya saa kwa sisi pro Russia[emoji22]

Japo hatuwez kuhitimisha kwamba Russia kweli kakimbia kichapo Cha counter offensive uko kherson,

Kumbe ikawa Ni mbinu ya kivita kueneza Hizi propaganda kumhadaa adui ili ajae vizur kwenye 18 zake.
Hata mji wa Lyman ulipokombolewa na majeshi ya Ukraine mlisema hivi hivi kuwa ni 'tactical withdrawal' lakini mpaka leo hawajawahi thubutu kurudi tena
 
Akiongea na waandishi wa habari,Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Urusi amesema Kuwa imekuwa vigumu zaidi kupeleka mahitaji Muhimu kwa wanajeshi walioko katika mji huo baada ya njia mhimu hasa madaraja kuharibiwa na Makombora ya HIMARS kutoka Ukraine.
tatics ya vita, Ukraine ilikuwa inaharibu njia kuu za logistics huku yeye Mrusi akiharibu madaraja na vyanzo vya umeme mijini.
 
Himars zinaendelea sogea karibu...
Kwa kutumia recon ya Us na nato Urusi lazima ataomba abakie na crimea pekee
 
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imeviamlu vikosi vyake kuukimbia mji wa KHERSON kabla mji huo haujazingirwa na majeshi ya Ukraine.

Akiongea na waandishi wa habari,Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Urusi amesema Kuwa imekuwa vigumu zaidi kupeleka mahitaji Muhimu kwa wanajeshi walioko katika mji huo baada ya njia mhimu hasa madaraja kuharibiwa na Makombora ya HIMARS kutoka Ukraine.

Russian forces to retreat from the west bank of the Dnieper river in the face of Ukrainian attacks. Russia orders troops to pull back from Kherson city
Warusi wa kibugumo waje sasa mbuzi wale .
Pigaaaaaa wanywa gongo haoaaaaa
 
Wale misukule wa referendum na kwamba ukiigusa Russia nyuklia inapigwa ,haya Kherson ni Russia uchwara ya referendum ,tumeibomoa ,pigeni nuclear sasa tuone .
 
NGOJA WAJAE KWENYE RADA
Baada ya tangazo la Urusi, raia ndani ya Kherson walisema askari wa Chechen kutoka jeshi la Urusi walikuwa katika jiji, kwenye mikahawa, na wakizunguka barabarani.
 
kufanya fake retreats wanaoweza hii mbinu ni jeshi la Ukraine tu. ukiliona jeshi la ukraine limerudi nyuma jua wameweka mtego wa mauti. nilifatilia vita tangu jeshi la ukraine lilivyo kimbia pale uwanja wa ndege wa nje kidogo na kyiv

jeshi la russia lilipo kuja wakafanya upimzani wa uongo na kweli dhen wakakimbia wale askar wa miamvuli waka sema yess. vita si ndo hivi.

lakini ghafla bin vuu wakashangaa wamezungukwa na majaveline kila upande.

ni mariupol peke ake ndo mambo yalie da ndivo sivyo. na waligoma kuretreat had dk za Mwisho kabisaaa.

hakuna msafara unaoweza kukatisha popote ndani ya ukraine tang vita vmeanza ukafika salama. yan wenye wanajijua wakisha jiona tayar wapo zaid ya watano wanatembea pamoja wanasema apa kazi tunayo
Hahahaha battle of hostomel,special forces za Warusi kina spetsnaz walichinjwa kama kuku
 
Back
Top Bottom