Majeshi ya Urusi yameukimbia mji wa KHERSON

Majeshi ya Urusi yameukimbia mji wa KHERSON

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2018
Posts
1,152
Reaction score
3,967
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imeviamlu vikosi vyake kuukimbia mji wa KHERSON kabla mji huo haujazingirwa na majeshi ya Ukraine.

Akiongea na waandishi wa habari,Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Urusi amesema Kuwa imekuwa vigumu zaidi kupeleka mahitaji Muhimu kwa wanajeshi walioko katika mji huo baada ya njia mhimu hasa madaraja kuharibiwa na Makombora ya HIMARS kutoka Ukraine.

Russian forces to retreat from the west bank of the Dnieper river in the face of Ukrainian attacks. Russia orders troops to pull back from Kherson city
 
Habar mbaya saa kwa sisi pro Russia

Japo hatuwez kuhitimisha kwamba Russia kweli kakimbia kichapo Cha counter offensive uko kherson,

Kumbe ikawa Ni mbinu ya kivita kueneza Hizi propaganda kumhadaa adui ili ajae vizur kwenye 18 zake.
 
ikumbukwe kherson na crimea ni pua na mdaomo.

the war with moscow started at crimea and shall ended at Crimea
Hapana. Jimbo la KHERSON limegawanywa katikati na mto DNIPRO RIVER Kati ya West DNIPRO River na East Dnipro River. Mji mkuu wa Jimbo la KHERSON Ni KHERSON City. Majeshi ya Urusi yamefurushwa Magharibi mwa mji wa KHERSON na kuelekea Mashariki mwa mji wa KHERSON.

Kwahiyo baada ya kulikomboa Jimbo la Magharibi la KHERSON,basi Majeshi ya Ukraine Yana Kazi kubwa na kuvuka Mto DNIPRO na kwenda kulikomboa Mashariki mwa Jimbo la KHERSON. Wakifanikiwa zoezi Hilo basi CRIMEA itakuwa Pua na mdomo na majeshi ya Ukraine.
 
Moja ya abiria aliekufa kwenye ajali ya ndege Bukoba ni hiki kizungu

Update on Putin's glorious three-day war:

Battle of Kyiv: lost
Battle of snake island: lost
Battle of lyman : lost
Battle of Kharkiv: lost
Battle of Kherson: lost
Russian flagship: sunk
Crimean bridge: close until further notice
Russia's international reputation: in tatters
 
Hapana. Jimbo la KHERSON limegawanywa katikati na mto DNIPRO RIVER Kati ya West DNIPRO River na East Dnipro River. Mji mkuu wa Jimbo la KHERSON Ni KHERSON City...

asante kwa ufafanuzi.

natumaini Crimea itakua karibu na range za HIMARS Sasa. kama kawaida ukraine wanaanza kupiga njia za usambazaji halafu ndio wanaanza vita man to man
 
Kherson ambako kunapatikana majiji makubwa ya KHERSON, BERYSLAV na SNIHURIVKA ikumbukwe mkoa huu umegawanywa na MTO DNIPER katika pande mbili za kushoto (Mashariki) na Kulia (Magharibi)
Upande ambao Urusi amesalimu Amri Una vijiji si chini ya 70 ambavyo vyote vitakuwa chini ya UKRAINE, na maamuzi haya yamekuja sababu hakulindiki tena kwa Ukraine kukata njia zote za kuleta mahitaji muhimu upande wa kulia kutoka kushoto na pia Ukraine imevunja ukuta wa jiji la SNIHURIVKA na kuhatarisha siku chache zijazo wanajeshi wa Urusi kuzingirwa upande mzima wa Kherson.
Maamuzi ni sahihi kwa Urusi ingawa inauma Sana kupoteza jiji la Kherson,
 
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imeviamlu vikosi vyake kuukimbia mji wa KHERSON kabla mji huo haujazingirwa na majeshi ya Ukraine.

Akiongea na waandishi wa habari,Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Urusi amesema Kuwa imekuwa vigumu zaidi kupeleka mahitaji Muhimu kwa wanajeshi walioko katika mji huo baada ya njia mhimu hasa madaraja kuharibiwa na Makombora ya HIMARS kutoka Ukraine.

Russian forces to retreat from the west bank of the Dnieper river in the face of Ukrainian attacks. Russia orders troops to pull back from Kherson city
Taifa teule anashindwa wapi kuwasaidia ma lgbt😀😀😀😀wakati mvaa kobazi irani mnalalamika anamsaidia hadi urusi ......mwako mwalimu kashasha
Screenshot_20221109-233111_RT News.jpg
 
Habar mbaya saa kwa sisi pro Russia

Japo hatuwez kuhitimisha kwamba Russia kweli kakimbia kichapo Cha counter offensive uko kherson,

Kumbe ikawa Ni mbinu ya kivita kueneza Hizi propaganda kumhadaa adui ili ajae vizur kwenye 18 zake.
Na siwajeda tu wanaoondoshwa, walishaanza kuondoshwa raia.
Ndio tuseme Jeshi la Ukreni litabaki lenyewe pale Kherson!?, hiyo ni hatari sana.
 
Ila akiweka will itabidi aondoe iyo ended iwe will end. Naona jamaa yuko sahihi wewe ndo unajifanya mjuaji kama yule jamaa anayekera alityemuambia dogo shujaa majaliwa asivunje kioo.
Maana yangu uliielewa mwl magorosa au unajibu tu vitu
 
ikumbukwe kherson na crimea ni pua na mdaomo.

the war with moscow started at crimea and shall ended at Crimea
"The war with Moscow started at crimea and shall ended at crimea" Mrengwa wa kulia

Nadhani ni bora zaidi watu mkatumia lugha yenu mama kuliko kujimwambafai kutumia lugha ambazo hamzimudu, mnatupa wakati mgumu sana kuwaelewa mlichokusudia kutupatia.
 
Back
Top Bottom