MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,152
- 3,967
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imeviamlu vikosi vyake kuukimbia mji wa KHERSON kabla mji huo haujazingirwa na majeshi ya Ukraine.
Akiongea na waandishi wa habari,Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Urusi amesema Kuwa imekuwa vigumu zaidi kupeleka mahitaji Muhimu kwa wanajeshi walioko katika mji huo baada ya njia mhimu hasa madaraja kuharibiwa na Makombora ya HIMARS kutoka Ukraine.
Russian forces to retreat from the west bank of the Dnieper river in the face of Ukrainian attacks. Russia orders troops to pull back from Kherson city
Akiongea na waandishi wa habari,Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Urusi amesema Kuwa imekuwa vigumu zaidi kupeleka mahitaji Muhimu kwa wanajeshi walioko katika mji huo baada ya njia mhimu hasa madaraja kuharibiwa na Makombora ya HIMARS kutoka Ukraine.
Russian forces to retreat from the west bank of the Dnieper river in the face of Ukrainian attacks. Russia orders troops to pull back from Kherson city
