Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
Mambo?
Ni matumaini yangu sote tumeuanza mwaka vizuri. Wagonjwa tunawaombea mpone haraka kabla hatujaimaliza January, inshallah.
Mapenzi matamu lakini machungu, asilimia kubwa tumewahi kuwatenda ama kutendwa na wenzi wetu. Wengine tumekuwa wabishi hata tukitendwa tunapenda tena.
Tunalia tunanyamaza lakini tunarudia yaleyale. Hapa naomba tusaidiane kwa waliokata tamaa ya kupenda, wanaoona mapenzi machungu na kuhisi mapenzi hayapo kwa ajili yao tena. Je tukitendwa ndio iwe mwisho wa kupenda? ni sahihi kukata tamaa mara baada ya kutendwa mara moja au mbili?
kuna namna yoyote ya kuzuia tusitendwe?
Tufanyeje jamani? kadri siku zinavyoenda mapenzi yanazidi kuwa machungu, hadi nakihurumia kizazi kijjacho. Nahisi kizazi kijacho kitaishia kupenda midoli na wanyama na si binadamu wenzao tena.
Ni matumaini yangu sote tumeuanza mwaka vizuri. Wagonjwa tunawaombea mpone haraka kabla hatujaimaliza January, inshallah.
Mapenzi matamu lakini machungu, asilimia kubwa tumewahi kuwatenda ama kutendwa na wenzi wetu. Wengine tumekuwa wabishi hata tukitendwa tunapenda tena.
Tunalia tunanyamaza lakini tunarudia yaleyale. Hapa naomba tusaidiane kwa waliokata tamaa ya kupenda, wanaoona mapenzi machungu na kuhisi mapenzi hayapo kwa ajili yao tena. Je tukitendwa ndio iwe mwisho wa kupenda? ni sahihi kukata tamaa mara baada ya kutendwa mara moja au mbili?
kuna namna yoyote ya kuzuia tusitendwe?
Tufanyeje jamani? kadri siku zinavyoenda mapenzi yanazidi kuwa machungu, hadi nakihurumia kizazi kijjacho. Nahisi kizazi kijacho kitaishia kupenda midoli na wanyama na si binadamu wenzao tena.