Majaribuni mikononi mwa watu wa kitengo

Majaribuni mikononi mwa watu wa kitengo

Nimeishi na kufanya kazi na watu wa kitengo, but hakuna mwanakitengo mpumbavu wa kuacha laptop ikiwa log in kwenye e mail afu mlango wazi.

Kuna kitengo mmoja nilikutana nae Mbeya, alikua na simu NNE. Mbili za kazi ambazo hazitoki chumbani kwake, mbili za matumizi binafsi.

Alikua very social na anagonga mtungi hatari but huwezi kuingia chumbani kwake hata alewe mpaka kuzima.

Mkuu kawadanganye wapiga debe
Mwanakitengo sio mtu
 
what kind of an idiot leaves his laptop which contains sensitive informations unlocked with emails open plus ID and other documents on the table ? if that is not enough his door was unlocked too! the answer is NONE! you've fabricated this story.
Kwa akili tu ya kawaida hii ni story za mitaani tu.
 
Mnafikiri hawa jamaa wanatofauti sana na wananchi wa kawaida..... Hawa jamaa wanaishi maisha ya kawaida
Hawana tofauti kabisa,watu sijui wanafikiriaga nini kuhusu hao jamaa,eti utasikia wana akili nyingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawana tofauti kabisa,watu sijui wanafikiriaga nini kuhusu hao jamaa,eti utasikia wana akili nyingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaah.... Wewe umeelewa nilichomaanisha
 
Ulichokiongea hakiwezekani kabisa I know what I'm talking.
 
wengi wanamshambulia mleta maada
but swala la kuifadhi/kuitunza Siri ni mtazamo wa MTU.
binafsi nimekutana na mambo yafuatayo kutoka kwa watu wa usalama
1) kuna mmoja alikuwa mtaani kwetu,yaani alikuwa akilewa ilikuwa balaaa.
ataanza kuropoka mambo yake.japo alikuwa akiongea ki mafumbo lakini ukisikilzia kwa makini utaelewa
Yule jamaa alikuwa mkorofi snaa hususani kwa mapolisi coz alikuwa mzee wa totoz ..na alikuwa anajitamba balaa.
akienda polisi asubuhi ya saa 4 saa 5 unamkuta baa
nadhani kituo alihamishwa/alifukuzwa kazi coz yapata miaka mi5 sijamtia machoni japo ndugu zake wapo.
2) Hawa walikuwa wanafunz nasoma nao ..kipindi nipo chuo first year
na wote tulikuwa tumetoka level moja na tupo age na Kimo sawa,,
walikuwa watu wa kutotulia sehemu na hata mijadala yao ilikuwa ya kimitego Sanaa.
pia walikuwa watu ambao walikuwa hawaogopi kitu..ujue kijana ni kijana ty ndiyo maana hata kina Bashite pamoja na mamlaka yao yote lakini zile sifa kuu za ujana bado wanazo (mostly ulimbukeni fulani,totoz ,sifa etc)
sasa huyu mmoja alikuwa anapenda kuoshea Sanaa kwa wanafunz esp totoz
mara pics zako akionesha yupo na viongozi mara mambo mengi yaani (ki UFUPI hapa usalama wanafail Sanaa kuchukua watt wadogo I.e wanafunz wa o level/advanve coz bado ni mature Sanaa)
3)Nimebahatika kusoma shule special (Vpaji maalumu)
huku Kariba ya wanafunz wengi ambao either wanajiandaa kwenda (Jkt/chuo mostly kidato cha 6)
huwa wanapenda kuwa Chukua na kuwa train coz nakumbuka kipindi nipo shule (shule kapuni) watu wa idara walikuja (hawakujitambulisha directly but ilikuwa easy kuwangamua) na kuchagua baadhi ya wanafunz
hao wanafunz (majina kapuni) baada ya kumaliza kidato cha 6.
sikufanikiwa kuonana nao tena mpaka nipo namaliza chuo mwaka wa mwisho ambapo story zao zilikuwa za kusisimua zaidi(hapa nitahifadhi kwa maslah yao)
but NARUDIA kuna wengine ile natural ya kuwa wa kimya/wasiri hawana yaani hata kama utampa kitu/atafanya kitu hata umtreatije bado asili ya uropo lazima atakupa (ikiwemo Hawa niliosoma nao)
4) Hii ilitokea kwenye familia yetu,kwa muda mrefu nilikuwa sifahamu kazi ya baba
na muda mwingi nilijua uenda atakuwa ni mlisha kondoo wa Bwana lakini haikuwa hivyo
mpaka kipindi nilipofika kidato cha 4
baada ya kuingia chumbani kwake kwa Siri nakukuta VITU vingi ikiwemo PC na I'd ambazo ziliniacha mdomo WAZi ( hapo kulikuwa na mtengano wa ki familia kutokana na kazi ya baba ya utumishi muda mwingi baba alikuwa anaenda mikoani kwenye uinjilisti/mama alikuwa anampokea baba kwenye huduma)
kumbe wote walikuwa NyOka kwa kivuli cha Dini
Lakini Hawa watu wana machale nakumbuka mzee alingamua kuwa nimeenda room kwake
na akajifanya ajuh kitu zaidi ya kujisafisha ki mtindo wa psychology but sikutaka/KUPENDA baba ajue kuwa nimengamua kitu na Mimi nikavunga mazima (mpaka pale nilipofanikiwa kupata ugali wa kwangu+familia yangu ndipo kwenye story na mzee nikamkumbusha lile tukio)
NB: Watu wa usalama nao ni watu kama sisi
kujisahau napo kupo achilia mbali ulimbukeni/tabia ya MTU huwa haifi nayo ipo
ref:Yule chahali mbona anashindwa kukaa kimya hata kama walimtoa kitengo?!?
and then kumekuwa na upotoshwaji Mwingi either wa kimakusudi/wakutokujua dhidi ya watu wa usalama wa Nchi
kwa Nchi zinazoendelea Majasusi wa usalama wanajulikana na hata ajira zao zinatangazwa public.
 
Wewe ndiye...

Tuma salam kwa wenzio.
Mimi ndiye nini MKUU?
nitume salaam kwa Nani???
[emoji12] isije kuwa umeanza kunishtukia na Mimi
wakati ni maoni yangu binafsi
halafu watu wa usalama wanapenda snaa sifa
nakumbuka Hawa vijana niliokuwa nao chuo.ilikuwa kwenye discussion yaan full sifa
na walikuwa wanapenda kuwashutumu watu kuwa ni wapelelezi
utakuta watu tunakomaa na discussion ghaflaa ananzisha mada
maraa "ooh fulani fulani atakuwa mpelelezi/hivi hapa chuo kuna weza kuwa na watu wa usalama" yaani viswali vya kijinga lakini vya kimitego
nakumbuka kuna siku nilimropokea mdau na kusema 'najua wewe afsa" daah mdau alinikazia jicho but me nikavunga kwa kutumia mbinu za mshua
 
Mimi ndiye nini MKUU?
nitume salaam kwa Nani???
[emoji12] isije kuwa umeanza kunishtukia na Mimi
wakati ni maoni yangu binafsi
halafu watu wa usalama wanapenda snaa sifa
nakumbuka Hawa vijana niliokuwa nao chuo.ilikuwa kwenye discussion yaan full sifa
na walikuwa wanapenda kuwashutumu watu kuwa ni wapelelezi
utakuta watu tunakomaa na discussion ghaflaa ananzisha mada
maraa "ooh fulani fulani atakuwa mpelelezi/hivi hapa chuo kuna weza kuwa na watu wa usalama" yaani viswali vya kijinga lakini vya kimitego
nakumbuka kuna siku nilimropokea mdau na kusema 'najua wewe afsa" daah mdau alinikazia jicho but me nikavunga kwa kutumia mbinu za mshua
Hahaha ndio maana nimekwambia Wewe ndiye...wala sijakushitukia kwa chochote. Ila unajishitukia Kama hao majamaa zako ambao hawapendagi kujichanganya na kukaaa sehemu moja mafahali wawili.

Hizo mbinu za mshua wako tumegee Bhas maana mtoto wa Nyoka ni Nyoka...
 
Hahaha ndio maana nimekwambia Wewe ndiye...wala sijakushitukia kwa chochote. Ila unajishitukia Kama hao majamaa zako ambao hawapendagi kujichanganya na kukaaa sehemu moja mafahali wawili.

Hizo mbinu za mshua wako tumegee Bhas maana mtoto wa Nyoka ni Nyoka...
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
mbinu za mshua nitakuwa naharibu kazi zao sasa.
siwezi kusema alikuwa anafanya nini na hata kanisa/dhehebu lake sitopenda niliweke
lakini navyojua mimi
idara ya usalama Imesambaa hadi kwenye taasisi za dini/kiroho
kuna viongozi wengine wa ki dini wao wapo kwa maslah ya Nchi tyu.
na kuna wengine wapo 4mission
migogoro mingi mikubwa ya taasisi za kidini
wengi wanamsingizia shetani [emoji23] [emoji23]
lakini mingine huwa kuna naniuu.......
Topic clossed mzee
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
mbinu za mshua nitakuwa naharibu kazi zao sasa.
siwezi kusema alikuwa anafanya nini na hata kanisa/dhehebu lake sitopenda niliweke
lakini navyojua mimi
idara ya usalama Imesambaa hadi kwenye taasisi za dini/kiroho
kuna viongozi wengine wa ki dini wao wapo kwa maslah ya Nchi tyu.
na kuna wengine wapo 4mission
migogoro mingi mikubwa ya taasisi za kidini
wengi wanamsingizia shetani [emoji23] [emoji23]
lakini mingine huwa kuna naniuu.......
Topic clossed mzee
Sijawahi kuona daktari anaogopa kuchambua mambo ya kitabibu...na huwa Wanafanya Sana uchambuzi na case mbali mbali Sema ndio hivyo huwa hawatoi majina ya wagonjwa na info zao.

Kwa hiyo mshua wako alikukataza usiwe Unatoa mbinu sio? Alikupika vyema. Kwa hiyo unaendeleza libeneke kikanisa Kanisa Au pande zingine?
 
Mnafikiri hawa jamaa wanatofauti sana na wananchi wa kawaida..... Hawa jamaa wanaishi maisha ya kawaida
Mbona sawa tu na mapolisi, mishahara sawa kama una degrees, au diploma, malupulupu wote yako sawa.

So kuwa kitengo sio ndio kujiona fahari
 
Hawezi kuwa hata karibu nna mwana usalama huyu! Wakati 'ule'mlipokuwa kijiweni akiwauliza maswali kadhaa kuhusu nyie aliwezaje kuji cover kuto expose back ground yake ikiwa hapa tu hakuna aliyemuuliza hata swali moja lakini yeye katiririka tu bila hata nukta wala koma? Jasusi anafundishwa namna ya kuji cover dhidi ya jasusi mwingine,na jasusi mwingine kwa mujibu wa ethics za kijasusi ni mtu YEYOTE hadi Kitu CHOCHOTE! Hiyo loophole ya wewe tu kumtambua jasusi ina mdisqualify huyo kuwa hafai kuwa jasusi! Jasusi gani huyo anayempigia Shangazi yako simu na kumuuliza habari zako wakati ana uwezo wa kuku track 24/7 kwa almost nyendo zako zote?maana hata kwenye kuulizia tu njia ya kuelekea sehemu fulani kuna namna ya kuuliza ambayo haitamwacha muulizwaji na shaka,hakuna jasusi who is so unethical to the point of binding himself to the blue chain like that! Yaani unampigia simu Shangazi yake,shangazi anampigia mjomba,mjomba anampigia dada yake ambaye ndiye mama yako kuwa kuna watu wanaulizia ABC zako,naye anampigia baba yako kumweleza,baba yako anatafuta hiyo namba ya huyo mpigaji aongee naye!hapo unakuta baba naye ni jasusi wa upande mwingine,unadhani atafanyaje? Anakutengenezea trojan horse! Balaa!
Kiongoz umeandika vitu ambavyo hawa wanakitengo wanatakiwa kuact, jasus haulizi straight question hata siku moja.


Inachukua muda kupata anachotaka na sio kupiga simu.


Sifa ya jasus ni mwizi kwanza,
 
Back
Top Bottom