Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,347
Pumba tupu, tunaishi na wana kitengo hadi vyumbani mwao kama mtu sio wa karibu huwezi jua, vyumbani kwao mtu yeyote anaingia.wengi wanamshambulia mleta maada
but swala la kuifadhi/kuitunza Siri ni mtazamo wa MTU.
binafsi nimekutana na mambo yafuatayo kutoka kwa watu wa usalama
1) kuna mmoja alikuwa mtaani kwetu,yaani alikuwa akilewa ilikuwa balaaa.
ataanza kuropoka mambo yake.japo alikuwa akiongea ki mafumbo lakini ukisikilzia kwa makini utaelewa
Yule jamaa alikuwa mkorofi snaa hususani kwa mapolisi coz alikuwa mzee wa totoz ..na alikuwa anajitamba balaa.
akienda polisi asubuhi ya saa 4 saa 5 unamkuta baa
nadhani kituo alihamishwa/alifukuzwa kazi coz yapata miaka mi5 sijamtia machoni japo ndugu zake wapo.
2) Hawa walikuwa wanafunz nasoma nao ..kipindi nipo chuo first year
na wote tulikuwa tumetoka level moja na tupo age na Kimo sawa,,
walikuwa watu wa kutotulia sehemu na hata mijadala yao ilikuwa ya kimitego Sanaa.
pia walikuwa watu ambao walikuwa hawaogopi kitu..ujue kijana ni kijana ty ndiyo maana hata kina Bashite pamoja na mamlaka yao yote lakini zile sifa kuu za ujana bado wanazo (mostly ulimbukeni fulani,totoz ,sifa etc)
sasa huyu mmoja alikuwa anapenda kuoshea Sanaa kwa wanafunz esp totoz
mara pics zako akionesha yupo na viongozi mara mambo mengi yaani (ki UFUPI hapa usalama wanafail Sanaa kuchukua watt wadogo I.e wanafunz wa o level/advanve coz bado ni mature Sanaa)
3)Nimebahatika kusoma shule special (Vpaji maalumu)
huku Kariba ya wanafunz wengi ambao either wanajiandaa kwenda (Jkt/chuo mostly kidato cha 6)
huwa wanapenda kuwa Chukua na kuwa train coz nakumbuka kipindi nipo shule (shule kapuni) watu wa idara walikuja (hawakujitambulisha directly but ilikuwa easy kuwangamua) na kuchagua baadhi ya wanafunz
hao wanafunz (majina kapuni) baada ya kumaliza kidato cha 6.
sikufanikiwa kuonana nao tena mpaka nipo namaliza chuo mwaka wa mwisho ambapo story zao zilikuwa za kusisimua zaidi(hapa nitahifadhi kwa maslah yao)
but NARUDIA kuna wengine ile natural ya kuwa wa kimya/wasiri hawana yaani hata kama utampa kitu/atafanya kitu hata umtreatije bado asili ya uropo lazima atakupa (ikiwemo Hawa niliosoma nao)
4) Hii ilitokea kwenye familia yetu,kwa muda mrefu nilikuwa sifahamu kazi ya baba
na muda mwingi nilijua uenda atakuwa ni mlisha kondoo wa Bwana lakini haikuwa hivyo
mpaka kipindi nilipofika kidato cha 4
baada ya kuingia chumbani kwake kwa Siri nakukuta VITU vingi ikiwemo PC na I'd ambazo ziliniacha mdomo WAZi ( hapo kulikuwa na mtengano wa ki familia kutokana na kazi ya baba ya utumishi muda mwingi baba alikuwa anaenda mikoani kwenye uinjilisti/mama alikuwa anampokea baba kwenye huduma)
kumbe wote walikuwa NyOka kwa kivuli cha Dini
Lakini Hawa watu wana machale nakumbuka mzee alingamua kuwa nimeenda room kwake
na akajifanya ajuh kitu zaidi ya kujisafisha ki mtindo wa psychology but sikutaka/KUPENDA baba ajue kuwa nimengamua kitu na Mimi nikavunga mazima (mpaka pale nilipofanikiwa kupata ugali wa kwangu+familia yangu ndipo kwenye story na mzee nikamkumbusha lile tukio)
NB: Watu wa usalama nao ni watu kama sisi
kujisahau napo kupo achilia mbali ulimbukeni/tabia ya MTU huwa haifi nayo ipo
ref:Yule chahali mbona anashindwa kukaa kimya hata kama walimtoa kitengo?!?
and then kumekuwa na upotoshwaji Mwingi either wa kimakusudi/wakutokujua dhidi ya watu wa usalama wa Nchi
kwa Nchi zinazoendelea Majasusi wa usalama wanajulikana na hata ajira zao zinatangazwa public.
Siku hizi siri sio malaptop. Ni kuhifadh kichwani tu.
Ukiona masimu mengi mara malaptop ujue huyo sio mwanakitengo na mwanahabari...
So baba yako alikuwa mwanahabari
Wanavitengo huwezi kuta kabebelea misimu na milaptop nyumbani .
So baba yako alikuwa mwanahabari wa gazete la muciba