Majaribu kwa wenye ndoa

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,129
Reaction score
62,142
Inabidi tusafiri na wenzi wetu,bila kufanya hivyo ndoa zitakuwa hatiani;amekuja dada mrembo kunihudumia dakika chache zilizopita kwenye chumba changu....ukichanganya na maji ya gold niliyokunywa,nikajikuta namshauri anipe kampani.....mbaya zaidi kaniambia ni muda wa kazi.Nipo tu hapa nachezea pc tu nikingojea arudi.


Mrejesho
Hakufika,namshukuru muumba kwa kusikia sala zangu
 
Ila wanawake wakifanya maovu mnalalamika kwa kuwa wao ni malaika
Sio hivyo mkuu,Me ni rahisi kushawishika kuliko ke;kwa mfano akija sawa,asipokuja hakuna shida.
 
mara paaaap, ni mwanaume mwenzio. hapo ndo kutafutana na tochi chumbani.
 
Km anajielewa hatakuja ndo kashakukwepa kisomi,akija kukukampan tupe mrejesho mkuu
 
Km anajielewa hatakuja ndo kashakukwepa kisomi,akija kukukampan tupe mrejesho mkuu
Ni kweli mkuu kila kazi ina maadili yake;kutokuja kwake kwa asilimia kubwa itakuwa faida kwangu
 
Suala la kuchepuka huwa ni trial and error kiukweli, kwa sababu huna cha kupoteza
 
Siku zote kumbuka neno moja kadiri unavyokula vya watu na vyako huliwa vile vile...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…