Majaribu kwa wenye ndoa

Majaribu kwa wenye ndoa

Mkuu dar maduka hayafungwi mapema shuka tu chini hapo unless umejiandaa kula nyama 2 nyama
Sina hakika kama atakuja....kama ningekuwa na uhakika ningeagiza,au kama atakuja kwa sababu yeye ni mwenyeji itabidi aokoe jahazi.
 
Usha chomesha mabaharia wenye ndoa kwa wake zao utafanya wasiaminike na safari zao acha kuwachoma

Tushakuvua ubaharia
 
Mkuu ukumbuke tu hapo ni hotelini na wanapita wengi na wanamuona wengi na hasa kwa uzuri wake uliosema, tahadhari sana wadada wanaofanya kazi hotel ama magesti. "Mwanaume wa kweli hatembei na wahudumu wa hoteli" TRAVELLER LAW NO. 325
 
Mkuu ukumbuke tu hapo ni hotelini na wanapita wengi na wanamuona wengi na hasa kwa uzuri wake uliosema, tahadhari sana wadada wanaofanya kazi hotel ama magesti. "Mwanaume wa kweli hatembei na wahudumu wa hoteli" TRAVELLER LAW NO. 325
ha ha ha macho hayana pazia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom