Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
HAKUNA MATATA
Mnashabikia ulemavu huu....?!!!?View attachment 1140552
HAKUNA MATATA


Daaah katika maisha yangu ya kila siku huwa nacheza sana na hizo vitu lakini sijawahi kufikiria tu zinzpokutana great meridian na equatorHuyu kufika kwa Malkia wa Sokotra zinapokutana latitude na longitude 0 kazi sana.
Wapo baadhi wanakua vibonge wepesi lakini ShadeeyaDaah! Saa nyingine maumbo makubwa hata si mazuri ,kwani kama huyo kuna mambo mengi yanamshinda sababu ya hivyo alivyo.
Kwa huyo Ses hata hana wepesi na ndio maana usimamaji wake umekuwa wa tabu.Wapo baadhi wanakua vibonge wepesi lakini Shadeeya
Na kweli usemalo Ses japo mi wajua tena nilivyo mkavu hivyo hata nikinenepa sitafika huko hivyo bado ntajiweza tu. 😅😅Usiache mazoezi maana vingeinevyo ubonge utakavyokujia wala hutajua utashtukia tu kuinama inakua mtihani,ukiwa umekaa kusimama mpaka upate sapoti, ukitembea kidogo u akua hoi😃😃😃