MAJANGA: Njiwa aleta kizazaa

MAJANGA: Njiwa aleta kizazaa

Lukwaroooooo

Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10
Reaction score
1
Ni majira ya saa8 alasiri hii leo
wakaaji wa kijiji cha kituri mwanga kilimanjaro
walipokimbia nyumba zao
baada kumuona njiwa mweus akibebeshwa barua yenye maandishi yaloandikwa kwa lugha ya kiarabu kwa kutumia
wino mwekundu maarufu kombe.
Na mpaka jioni hii yupo
ana2a kila nyumba.
 
Kwani hakuna atayeweza kulikemea hilo liNJIWA ?
ataje tu jina litapotea kwani katika majina na majini yote likitajwa jina hilo WANAYWEA
 
Ni majira ya saa8 alasiri hii leo
wakaaji wa kijiji cha kituri mwanga kilimanjaro
walipokimbia nyumba zao
baada kumuona njiwa mweus akibebeshwa barua yenye maandishi yaloandikwa kwa lugha ya kiarabu kwa kutumia
wino mwekundu maarufu kombe.
Na mpaka jioni hii yupo
ana2a kila nyumba.

source pleace
 
We njiwa, kuja hapa mara moja! haya hebu tuambie hiyo kazi ya umesenja umeanza lini?
 
Last edited by a moderator:
Ewe njiwa Ewe njiwa peleka salama kwa yule kwa yule wangu muhimu.

Ewe njiwa Ewe njiwa peleka salamu ....
.

nahisi aliyeimba huu wimbo ndo kafundisha watu kutumia njiwa kupeleka salam,angeimba kuku basi kuku ndo wangetumika kupeleka salam
 
Ni majira ya saa8 alasiri hii leo
wakaaji wa kijiji cha kituri mwanga kilimanjaro
walipokimbia nyumba zao
baada kumuona njiwa mweus akibebeshwa barua yenye maandishi yaloandikwa kwa lugha ya kiarabu kwa kutumia
wino mwekundu maarufu kombe.
Na mpaka jioni hii yupo
ana2a kila nyumba.

Naomba niende nje ya mada kidogo,

Hivi hiyo 2 aliyoweka hapo(ana2a) maana yake nini?,ndio "tu" au "two" au "mbili" as "anambilia" au "anatua" au "anatwoa" naomba nisaidie

Baada ya kuelewa matumizi sahihi ya hiyo 2 nitatoa mchango wangu na mimi asante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom