Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
ndugu zangu polen na pilika pilka za kufurahia uapishwaji wa RAIS mteule wa DUNIA B.H.OBAMA, kwa masikitiko makubwa hivi majuzi kuna majambazi yalivamia gari na kutaka kupora pale MANZESE,nadhan mlio nje mnapakumbuka sana wakati wa kufanya shopping kuja huko,,kwa sasa imebadilka kidogo...wakati wa tukio tulikuwa umbali kidogo lakini mbele ya gari letu kulikuwa na DEFENDER la POLISI,wale majambazi wakasimamisha magari mengi tu ile defender ikaamua kupita pembeni na ndipo ilipokuta wanaume wa shoka wametanda barabara nzima gafla ilipita pikipiki yenye askari wawili wenye silaha....kwa kweli yaliotokea nilikuja jamvini kuyaanika nikakuta mh mmoja ametoa taarifa...ila aliacha mambo mengi sana ya aibu kwa jeshi letu
1)GAFLA BINDUKI RASHASHA ZILIANZA KURUNDIMA KUMBE WAZEE WA DEFENDER WALIANZA KUTUNUKIWA NISHANI YA RISASI NA WAO KUENDELEA KUJIBU,,ILIPOFIKA ILE PIKIPIKI KWA KWELI TULIOKUWEPO TULICHEKA NA BAADAE KUSIKITIKA WALICHOFANYA NI KUKATA KUSHOTO NA KUSIMAMISHA KWA MBALI PIKIPIKI KWENYE DUKA MOJA LA PUMBA NA KUINGIA NDANI KAMA WAKIWA WANASIKILIZIA nini kimeendelea, hatimaem askari waliokuwapo kwenye defender baadhi wakala kona nao na kumuacha polisi mmoja ambae aliamua kuendelea kufyatua huku wengine 5 wakiwa pembeni mwa bar wameacha SILAHA KWENYE GARI...hakuna alie amini hili ila afande kova jitahidi kufwatilia..yule aliebaki alipunyuliwa risasi pembeni ya kicha akaendelea kukomaa wakaamua kukimbia na kuacha ile gari yenye fedha.....
muda wakiwa wanarushiana mmoja wao akapigwa bastolla mguuni akakimbia nayo hivyohivyo wakapora gari la mtu aliekuwa akipaki wakakimbia nalo mpaka mitaa ya tandale wakapora lingine na hakuna askari alieendelea kuwafwata
YALIYOJIRI
baada ya kufanikiwa kukimbia ,askari waliichukua na kuipeleka pale kituoni kwao mjini kati,walipoiangalia kwa makini kova akisaidiana na wenzake wakaitambua ni ya JESHINI...akapigiwaa mkuu wa lugalo kuna mzigo wako naomba uje kuuutambua,,walipofika wakakuta kweli iko na alama za jeshini..wakachukua zile namba wakaenda sehemu ya kuifadhia silaha kuangalia nani alikuwa mhusika ama alipewa kuitumia..ikakutwa ni kati ya silaha ambazo hazitoki mara kwa mara kwa hiyo wakaapata shida mpaka waliaongalia tena wakakuta ni katika zile silaha zisizotumika mara kwa mara, baaada ya hapo mku akaamuru kitengo kizima cha kuhifadhi silaha weka ndani,,wakapewa shurba tashnati kabla ya mhusika aliekuwa akilinda siku hiyo kusikia akaama na nyumbani kabisa na mpaka leo aijulikani alipo,
KASHESHE
yule alieumia alienda hospital moja kule vingunguti,walipofika wakaomba atibiwe bila pp3,wakala hela nyingi tu lakini akatokea nurse mstaarabu akapiga simu polisi kuna mtu ameomba kutolewa risasi hapa,,wakaja polisi wakamchukua walichoenda kumfanya anajua mwenyewe ndipo alipotaja yeye ni koplo wa lugalo,,alipewa silaha na aliekuwa zamu siku hiyo akataja na jina kumradhi chanzo chetu kimelisahau kidogo....mpaka hivi sasa anashikiliwa jeshini lugalo:
Nimeona nieleze ukweli huu ili tujiulize kama wanajeshi wanaotulinda ndio wanatuadhibu hivi kwa silaha rashasha kama hizi nani atkaetulinda
JE mh KOVA kukaa kimya hamuoni mnaitia aibu JESHI lenu ukiacha Kukimbia kwenye tukio
Swali lingine najiuliza iweje wale polisi walikimbia mapema ama walikuwa wanawajua wale ni wanajeshi
MUNGU IBARIKI TANZANIA
1)GAFLA BINDUKI RASHASHA ZILIANZA KURUNDIMA KUMBE WAZEE WA DEFENDER WALIANZA KUTUNUKIWA NISHANI YA RISASI NA WAO KUENDELEA KUJIBU,,ILIPOFIKA ILE PIKIPIKI KWA KWELI TULIOKUWEPO TULICHEKA NA BAADAE KUSIKITIKA WALICHOFANYA NI KUKATA KUSHOTO NA KUSIMAMISHA KWA MBALI PIKIPIKI KWENYE DUKA MOJA LA PUMBA NA KUINGIA NDANI KAMA WAKIWA WANASIKILIZIA nini kimeendelea, hatimaem askari waliokuwapo kwenye defender baadhi wakala kona nao na kumuacha polisi mmoja ambae aliamua kuendelea kufyatua huku wengine 5 wakiwa pembeni mwa bar wameacha SILAHA KWENYE GARI...hakuna alie amini hili ila afande kova jitahidi kufwatilia..yule aliebaki alipunyuliwa risasi pembeni ya kicha akaendelea kukomaa wakaamua kukimbia na kuacha ile gari yenye fedha.....
muda wakiwa wanarushiana mmoja wao akapigwa bastolla mguuni akakimbia nayo hivyohivyo wakapora gari la mtu aliekuwa akipaki wakakimbia nalo mpaka mitaa ya tandale wakapora lingine na hakuna askari alieendelea kuwafwata
YALIYOJIRI
baada ya kufanikiwa kukimbia ,askari waliichukua na kuipeleka pale kituoni kwao mjini kati,walipoiangalia kwa makini kova akisaidiana na wenzake wakaitambua ni ya JESHINI...akapigiwaa mkuu wa lugalo kuna mzigo wako naomba uje kuuutambua,,walipofika wakakuta kweli iko na alama za jeshini..wakachukua zile namba wakaenda sehemu ya kuifadhia silaha kuangalia nani alikuwa mhusika ama alipewa kuitumia..ikakutwa ni kati ya silaha ambazo hazitoki mara kwa mara kwa hiyo wakaapata shida mpaka waliaongalia tena wakakuta ni katika zile silaha zisizotumika mara kwa mara, baaada ya hapo mku akaamuru kitengo kizima cha kuhifadhi silaha weka ndani,,wakapewa shurba tashnati kabla ya mhusika aliekuwa akilinda siku hiyo kusikia akaama na nyumbani kabisa na mpaka leo aijulikani alipo,
KASHESHE
yule alieumia alienda hospital moja kule vingunguti,walipofika wakaomba atibiwe bila pp3,wakala hela nyingi tu lakini akatokea nurse mstaarabu akapiga simu polisi kuna mtu ameomba kutolewa risasi hapa,,wakaja polisi wakamchukua walichoenda kumfanya anajua mwenyewe ndipo alipotaja yeye ni koplo wa lugalo,,alipewa silaha na aliekuwa zamu siku hiyo akataja na jina kumradhi chanzo chetu kimelisahau kidogo....mpaka hivi sasa anashikiliwa jeshini lugalo:
Nimeona nieleze ukweli huu ili tujiulize kama wanajeshi wanaotulinda ndio wanatuadhibu hivi kwa silaha rashasha kama hizi nani atkaetulinda
JE mh KOVA kukaa kimya hamuoni mnaitia aibu JESHI lenu ukiacha Kukimbia kwenye tukio
Swali lingine najiuliza iweje wale polisi walikimbia mapema ama walikuwa wanawajua wale ni wanajeshi
MUNGU IBARIKI TANZANIA