TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,203
- 25,378
Habari za hv punde zikitokea hapa ubungo pembezoni mwa bank ya NBC ni kwamba majambazi wawili wakiwa na usafiri wa pikipiki wamempiga risasi ya mguuni raia mmoja aliyekuwa kabeba mfuko uliokisiwa na fedha.
Risasi hiyo amepigwa baada ya kukaidi kutotaka kutoa huo mfuko aliokuwa amebeba.
Mpaka hv ninapoleta habari hii vijana wengine wa bodaboda wanawafukuzia kwa nyuma hao majambazi huko walipokimbilia.
Nawasilisha.
Risasi hiyo amepigwa baada ya kukaidi kutotaka kutoa huo mfuko aliokuwa amebeba.
Mpaka hv ninapoleta habari hii vijana wengine wa bodaboda wanawafukuzia kwa nyuma hao majambazi huko walipokimbilia.
Nawasilisha.