Majaliwa aliokua kuitamka "Dakta" Samia Suluhu Hassan

Majaliwa aliokua kuitamka "Dakta" Samia Suluhu Hassan

Alimu over shadow anataka kuleta ya zamani ili asifiwe kuliko raisi?.
Hawajui watu wa pwani yule
 
Ila wamemuonea, kama hawezi bora wangeeleea naye tu maana hakuna mwenye nafuu
 
Mwamba aliipatia Sana kila mara akiongea lazima achomekee Dakta Mama yetu. ila ndo vile kapigwa pin
Neno Dr sasa hivi halina thamani. Form Four Failure anakuwa Dr kwa sababu ya status yake kwenye Jamii.
 
Wabongo wenzangu tuacheni nongwa. Majaliwa atakula mafao yake ya kustaafu uwaziri mkuu. Kwa ufupi ataishi kama mbinguni. Na bado anaweza kupewa ubalozi, ukuu wa chuo kikuu au uenyekiti wa kamati za bodi mbalimbali.
 
Mwamba aliipatia Sana kila mara akiongea lazima achomekee Dakta Mama yetu. ila ndo vile kapigwa pin
Majaliwa anarudi chamani kuweka sawa mambooooz

Chakandumuz Lazima wakae
 
Wahuni wa Zanzibar wanagawana Tanganyika, Ndugai alilazimishwa ajiuzulu, Mpango nae mapema kabisaa, Katelephone akajitutumua weee, dakika za jioni wakamweka mtu kati!!

Boss wa TISS mzenji, Mkurugenzi wa operation Polisi Mzenji, AG mzenji, Waziri wa Mambo ya nje Mzenji, Rais Mzenji, Watanganyika wamebakia machawa wanaburuza mbupu kumsifia Mama la Mama huku Kila kitu kikipigwa mnada!!
 

Attachments

  • 20250703_111807.jpg
    20250703_111807.jpg
    130.5 KB · Views: 12
Wahuni wa Zanzibar wanagawana Tanganyika, Ndugai alilazimishwa ajiuzulu, Mpango nae mapema kabisaa, Katelephone akajitutumua weee, dakika za jioni wakamweka mtu kati!!

Boss wa TISS mzenji, Mkurugenzi wa operation Polisi Mzenji, AG mzenji, Waziri wa Mambo ya nje Mzenji, Rais Mzenji, Watanganyika wamebakia machawa wanaburuza mbupu kumsifia Mama la Mama huku Kila kitu kikipigwa mnada!!
Very humble guy
 
Back
Top Bottom