MAJADILIANO YA MAKINIKIA: Barrick yakubali kulipa Dola Milioni 300 na kugawana faida 50/50 na Serikali ya Tanzania

Rais amesema ile hisa ya 16% yetu iko pale pale halafu mwishoni bado tunagawana 50/50.

Which means eti sisi tunafaidi zaidi ya 50!

Ukiamini hiki kitu ni lazima unahitaji kufanyiwa frontal lobe transplant, oparesheni ya kubadilishiwa kipande cha ubongo.

Ni uongo!

Ni uongo!

Ni uongo wa mchana!

Sikijui hicho kwenye rangi nyekundu ni nini, labda unaonesha uwezo wako wa kudesa maneno ya kitaaluma ili uonekane uko hivyo!

Wewe na mimi tumerejeshewa matokeo ya majadiliano, ambayo yametolewa wazi kweupe, lakini unasema ni uongo.

Pili umeelewa tofauti na ujumbe wenyewe. Kwa kuwa unajua ukweli, siendelei na mjadala huo na wewe. Ila nakukubali kuwa wewe siyo mtu mzima na makini kwa sababu USILOLIJUA NI KAMA USIKU WA GIZA
 
Chadema wameumbuka na Lisu wao alikuwa akitoa povu kutetea watu Wa nje kutuibia Mungu siku zote hukaa na mnyonge anayeibiwa Mungu kasimama na Serikali Ya magufuli chadema na Lisu bakini na mapepo yenu ya kutetea wezi wa nje wanaoibia watanzania
Duh nlifkiri tunataka ushindi wa taifa kumbe wenzetu mlitaka kukomoana na lisu yye si alishapongeza toka cku mmebadilisha sheria sasa wapi kaumbuka wakati alichotamani mbadilishe sheria na ikawa hivyo! Embu tuache siasa kwenye kila kitu
 
Yule Msaliti Namba Moja Tanzania Tundu Lisu amepata nini sasa?
Kikubwa mno kamvua magufuli na kumdharilisha mbele ya ikulu na tv ya taifa kwamba hawezi mchezo wa dunia ni nguvu ya soda kwa lugha ya mtaani they have dealt with him kwishney kabisa sasa watanzania tuamke tupambane huyu bwana sasa ndio watavuna madini mpaka wamalize yote maana kawazawadia
 
Kumbuka ACACIA teyari wana hasara ambayo hawatakubali kuibeba peke ya hivyo ni lazima haya malipo ya bilioni karibu 700 yatashuka tu.
Accacia Wameibia watanzania na kampuni ya barrick wewe kibaraka koko kamwambie bosi wako Lisu mtetea vibaka wa baricck kuwa biashara imebuma mamilioni aliyoyala Ya Accacia ayarudishe waambie na viongozi wenzie wa chadema wawarudishie pesa zao walizochukua Kama rushwa ili wawatetee kwenye media, bungeni nk
 
Ni bilioni 700 mshahara wa wafanyakazi wa serikali wa mwezi mmoja so nothing more jamaa ameshindwa kukomaa kalowa wanaume wamemtisha kaona isiwe tija eti anasema atajengea reli stiglers madarasa sijui anamahesabu ya wapi haki ya Mungu ukishakuwa na kiongozi masikini na mshamba huwa hajui hata thamani ya fedha
Aibu juu wenu wachawi, nakosa picha alosema Lisu yangetimia, vile mngefurahia. Shame on y'all faces
 
50% ya mgao wa faida? Mchanga machoni mwaaa

Siku zote 99.9% ya migodi hapa nchini hutangaza hasara sasa huo mgao utatoka wapi....

Goli la mkono hiloooo
Hakuna binadamu anaeendesha biashara ya hasara akaendelea kuifanya hata nusu mwaka
 
Bado natafakali maana halisi ya kumiliki share 64%

Halafu kwenye faida mwenye share 16 anapata 50% na wa 64 anapata 50%

Ngoja wanamahesabu watatupa ukweli wa gawio kwa umiliki huo hususani wachumi

HAIJAWAI TOKEA NA HAIWEZI TOKEA LABDA UWE MUUJIZA WA TAARUMA YA KMAESABU YA KIUCHUMI UMEONGEZWA LEO.

MIMI NIWEKEZE MTAJI WA64 AU 84 ALAFU TUGAWANE SAWA FAIDA NA HUYU WA 16

WACHA NIINGIE CHIMBO KU RESEARCH HII KITU
 
Tangu kuteuliwa kwa Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko
Kabudi,Waziri wa Katiba na Sheria,kuongoza timu ya mazungumzo ya Serikali na Barrick,sikuwa na shaka. Sikuwa na shaka nao kiuwezo,kiweledi wala kizalendo. Ilikuwa timu imara ya watanzania wazalendo nane tu.

Lengo kubwa lililosemwa sana ni kusaka fedha zilizopotea kutokana na ukwepaji kodi na usafirishwaji wa makinikia nje ya Tanzania. Mambo hayo yalifuatia Ripoti za Kamati za Rais zilizoongozwa na Prof. Mruma na Prof. Ossoro. Kimsingi,ripoti hizo zimezaa hadi Sheria mpya za Rasilimali za nchi yakiwemo madini.

Mazungumzo baina ya Serikali na Barrick yamechukua takribani miezi mitatu. Kimsingi,timu ya majadiliano ya Tanzania iliyoongozwa na Prof. Kabudi imevuka malengo yake. Imepata zaidi ya pesa zitakazotolewa sasa. Timu imefanikisha mambo makubwa. Kwanza,bilioni 700 zitalipwa. Pili,masharti yote ya Sheria mpya nilizotaja hapo juu yamekubaliwa na yatafuatwa.

Tatu,pamoja na kodi zilizopo kisheria na kuchochea maendeleo sehemu za migodi,faida itagawiwa kwa 50/50. Pia,Serikali itapata nafasi za uwakilishi kwenye uongozi wa kampuni za uchimbaji wa dhahabu. Yaani,Bodi za Wakurugenzi zitakuwa na wawakilishi wa Serikali. Pia,mashauri yote yahusuyo madini ya dhahabu na uchimbaji wake yatasikilizwa hapa hapa Tanzania.

Tena,mambo ya ajira za wazawa yataimarishwa migodini na miundombinu itajengwa. Ofisi na akaunti za benki za wawekezaji zitakuwa hapa hapa. Halafu,timu yao imezaa uchambuzi,upembuzi na majadiliano kuhusu madini ya almasi,tanzanite na kadhalika. Hakika,timu ya Prof. Kabudi imevuka lengo. Imeset standard and new arrangement.

Hongereni wazalendo wetu!
 
Hii hela imetoka no where na out of budget kwa nini tusiitumie kukomboa zile ndege zetu, au kulipia videni vyetu vyote vidogo vidogo vya nje, halafu tuanze maisha mapya bila madeni..
Ndege zitakuja, hela zilishatolewa, Lisu and Co shame on them.
Namshukuru Mungu kwa kumuepusha na kifo ili ashuhudie huu ushindi alioupinga.
 
Aibu juu wenu wachawi, nakosa picha alosema Lisu yangetimia, vile mngefurahia. Shame on y'all faces
Kaka punguza hasira nchi hii ni yetu na Lissu ni sehemu yetu mbona muna mhusudu sana tunasema hela aliyesema proffesor Thorton kama wakurugenzi wake watakubali kutupa ni sawa na mshahara wa watumishi wa umma wa mwezi mmoja tunasema team ya Magufuli wamefeli kwenye negotiation kwa sababu raisi aliwa kutahidi kwamba wamekubali kutoa trillioni 425 imekuwaje tena hatupewi fedha hizo au umepata kizunguzungu
 
Bado kuna meaningful disagreement. Prof.
Matokeo ya majadiliano mpaka sasa ni hatua nzuri kwa Taifa letu, kutoka kuwa shamba la bibi hadi kuwa wamiliki na wenye uamuzi wa mwisho kwenye shamba la bibi.

Historia haiwezi kufutika ila imetupa mwelekeo sahihi wa kulinda rasmali zetu.
 
Mkuu kivp tunawadai trillion 500 tunaambulia billion 600?? Nieleweshe
Deni sio lazima lilipwe immeadeately likiwa kubwa! Hilo Deni laweza geuzwa kuwa hisa! Hiyo 50 kwa 50 kugawana faida ni njia mojawapo ya kulipa hilo Deni kuwa OK tunatanguliza dola milioni 300 halafu zingine tunawapa hisa grow Up man. Chadema mna akili ndogo mno
 
Back
Top Bottom