Majaabu sana imenitokea jana

Majaabu sana imenitokea jana

Jana nimejikuta nimelala njee tena ni baada yakumuota X wangu amekuja kunisalimia nikaja kumfungulia mlango .

Aisee hii ni maajabu sasa hii inakuwaje ??
Wengine tunafungua mlango wa Baraka, wewe unafungua wa X!😂
Kazi kwel kwel
 
Amka saa nane usiku .Sema maneno haya Mungu nisamehe zambi zangu ,Mungu naomba ulinzi wako Amen
 
Jana nimejikuta nimelala njee tena ni baada yakumuota X wangu amekuja kunisalimia nikaja kumfungulia mlango .

Aisee hii ni maajabu sasa hii inakuwaje ??
Babe, hii habari ulitakiwa unijulishe mimi kwanza kabla ya kuja huku kumwaga mchele kwenye kuku wengi! 🙆
 
Back
Top Bottom