Nguva Jike
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 853
- 1,005
Habari za jioni wadau.
Nasikia watu wakisema maisha yatajiseti at 40s lakini mpaka leo sijaelewa kiundani msemo huu.
Naomba wajuzi wa mambo tofauti ya maisha waje katika debate hii.
Asanteni.
Nasikia watu wakisema maisha yatajiseti at 40s lakini mpaka leo sijaelewa kiundani msemo huu.
Naomba wajuzi wa mambo tofauti ya maisha waje katika debate hii.
Asanteni.