Kituku
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 238
- 24
Hali ya maisha yangu jamani imeanza kuwa tete, kamshahara kangu ni ka kima cha chini... vibiashara vidogo vidogo ndo vinavyoniongezea kashilingi ka kusukuma maisha yangu... Hapa mtaani kwetu hatuna umeme leo siku ya tano... hvi hii serikali yetu inatufikiria kweli wananchi wa kawaida? wanataka tukaibe?
Kwangu sababu za kutokapatikana umeme wanazotoa haziniingiii akilini, na inaniuma sana kwa kodi nazokatwa kwenye kamshahara kangu na vilevile hata kwenye vibiashara vyangu.. zinakwenda wapi? auhawa viongozi wetu hawaexperience hili tatizo huko Oyesterbay na masaki? au serikali imewapa super power jenerators?
Kinachonishangaza nimeenda kulipa billl ya umeme deni langu limezidi 10,000 ya bili ya kawaida ninayolipa, kila mwezi bili inazidi na mgao upo palepale.. jamani jamani..
Namchukia sana huyo mtu anaeitwa Ngeleja... sijui nikimuona kama sijatema mate, Namchukia sana Kwikwete mtu asiyejua au hata kuzungumza na wananchi walipa kodi masuala hatari kama haya, Nachukia sana wabunge wanaopitisha hoja kwa 100%, Namchukia sanaWaziri mkuu kwa kuwa hana tamko lolote la nguvu na la ukali analotoa juu ya tatizo hilo la kitaifa.. , soko gani la ajira liliongezeka hapa, wanataka vijana warudi mtaani?
.............kwanini wasifanye janga la umeme ni janga la kitaifa... Kila siku tuna mpango tuna mpango... this is too much...
N
Kwangu sababu za kutokapatikana umeme wanazotoa haziniingiii akilini, na inaniuma sana kwa kodi nazokatwa kwenye kamshahara kangu na vilevile hata kwenye vibiashara vyangu.. zinakwenda wapi? auhawa viongozi wetu hawaexperience hili tatizo huko Oyesterbay na masaki? au serikali imewapa super power jenerators?
Kinachonishangaza nimeenda kulipa billl ya umeme deni langu limezidi 10,000 ya bili ya kawaida ninayolipa, kila mwezi bili inazidi na mgao upo palepale.. jamani jamani..
Namchukia sana huyo mtu anaeitwa Ngeleja... sijui nikimuona kama sijatema mate, Namchukia sana Kwikwete mtu asiyejua au hata kuzungumza na wananchi walipa kodi masuala hatari kama haya, Nachukia sana wabunge wanaopitisha hoja kwa 100%, Namchukia sanaWaziri mkuu kwa kuwa hana tamko lolote la nguvu na la ukali analotoa juu ya tatizo hilo la kitaifa.. , soko gani la ajira liliongezeka hapa, wanataka vijana warudi mtaani?
.............kwanini wasifanye janga la umeme ni janga la kitaifa... Kila siku tuna mpango tuna mpango... this is too much...
N