Maisha yanapokuwa magumu na NMB

Maisha yanapokuwa magumu na NMB

Mbona kana kuna jambo hapo ! Naomba ufafanuzi kidogo Kiongozi
Mshahara umetoka na kuna badiliko kwa waliopandishwa madaraja, Aidha kuna madeni yamelipwa kwa waliokuwa wanadai malimbikizo ya mishahara, fedha za likizo, matibabu, uhamisho n.k. Aidha kundi jengne linataraji kubadilishiwa vyeo mwishoni mwa mwezi huu. Kwa kutumia mifano halisi kanusha/thibitisha habari hii.
 
Kwako tu mshana Jr wengine tupo vizuri
IMG-20190721-WA0006.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom