Maisha yananichanganya msaada tafadhali

Maisha yananichanganya msaada tafadhali

Tatizo lake ni hicho anachosemea ni kigumu kwake sasa sijui walimchagulia au alichagua mwenyewe kwa kuiga???????? Solution ongea na wazazi wakupe hizo Ada ili wakuachie maamuzi yako.NB usifanye maamuzi pasipo kujua anayekulipia ada utapata laana hata hiyo biashara yenyewe utaiona kama Bunsen burner ya kwenye Chemistry.
 
Tatizo lake ni hicho anachosemea ni kigumu kwake sasa sijui walimchagulia au alichagua mwenyewe kwa kuiga???????? Solution ongea na wazazi wakupe hizo Ada ili wakuachie maamuzi yako.NB usifanye maamuzi pasipo kujua anayekulipia ada utapata laana hata hiyo biashara yenyewe utaiona kama Bunsen burner ya kwenye Chemistry.
Utakapoanza Biashara huku una cheti ni kama umeenda vitani na silaha mbalimbali, hivyo ni rahisi kushinda vita.Hao wasomi wanaoshinda mtaani, tatizo lao ni hilo 'kushinda mtaani' badala ya masokoni.
 
Hapo ni sawa na mdada anayetaka kuacha shule ili aolewe. Yaani kuolewa kupo tu, hata akiwa na elimu yake ataolewa tu, na wewe vile vile biashara zipo tu, maliza kwanza hilo la shule. Usikimbilie penye wepesi fanya gumu kwanza hayo mepesi yatakuja tu. Wazazi ndio wanauchungu sana na wewe na wao wanajua nini ni jambo zuri kwako. Nakupa siri moja ukimaliza shule hutowaza tena kwenda kuuza juice ya miwa utawaza kufanya vitu vikubwa zaidi. Ila ukitaka kupauka mtaani acha shule kimbilia mtaani. Shule kweli haina maana lakini uwe nayo kwanza, kama hauna inakua ina maana sana.
 
Fanya kile unachopenda (biashara) huko kwenye IT unasoma kishingo upande tu.....Kumbuka mafanikio huja kwa kupenda unachofanya
 
Kusona kitu gani wakati elimu ina nunuliwa " RIP Langa
 
Biashara ni nzuri ila ukipata LOSS utakumbuka shule..........maliza chuo kwanza
 
Wazo langu kuhusu mtaji ni zuri ndugu yangu nilifate,? Hata nikisoma ndoto yangu ni biashara hata uzoefu ninao hata promotion naweza sema wazazi wanataka nifanye kinachowafurahisha machoni
Malizia kusoma kwani masomo hayo yatakusaidia katika huko kujiajiri! Akili itakuwa imepenuka zaidi. Biashara utafanya ukimaliza masomo.
 
Back
Top Bottom