Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,856
No kucheka
Hii ni kali
Huu iz shi?
Kwani alikufa?
Ndio.....Kwani alikufa?
Mume wake alifariki, mume alimpenda sana mkewe.Au sponsor kafa mbona dada wa watu analia?
Oooh pole yakeNdio.....
Ndo hivyo Mkuu.Lazima mtaa mzima ujue kuwa nina pesa.Tatizo la wabongo wanashindwa kutofautisha utajiri na maisha bora. Utakuta mtu kakamata chenji milion 50 lakini hizo fujo kitaa.